Niliyoyasema kuhusu Yanga SC yetu mlidhani ' natania ' na hatimaye sasa ' Kimenuka ' rasmi huko na kuna ' Mgogoro ' mkubwa sana

Hizi ni bangi,hata timu yangu tunavaa jezi hizi na zipo picha nyingi tu tunapiga
Wewe ni mtu baki kwa yangà, hata uvae pinki au uchi hamna atakayejali...kama nyekundu freshi kwa uongozi msigepigia kelele nembo ya voda.
Hii rangi aliyovaa msolla, ndio itamtoa madarakni.
Bado mzee akilimali ajamuona na nyekundu.
 
All in all, Yanga tunahitaji ushindi kwa namna yoyote ile. Mambo ya kufungwa hovyo hovyo, na sare dhidi ya timu ndogo, hayaleti picha nzuri kwa timu kubwa na kongwe kama Yanga.
 
Pumba tupu toka kwa mbumbumbu

Je, Ndugu ni kweli kwamba Yanga SC yetu ina Wapuuzi wengi kama alivyosema Mwenyekiti wetu? Mimi kwa Kauli hii najiandaa Kuhamia rasmi Simba Sports Club kwani wana Yanga SC tumedhalilishwa mno.
 
Itokomee ifie mbali, hili ni tawi la ccm...likiufe!!

Kusema Yanga SC ni Tawi la CCM ni matokeo ya matumizi mabaya ya Akili ulizopewa bure kabisa na Mwenyezi Mungu mapungufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…