Niliyoyasikia mjadala TBC:Serukaamba na CCM wengine hawana picture Tz itakuwa wapi ktk serikali 3

Niliyoyasikia mjadala TBC:Serukaamba na CCM wengine hawana picture Tz itakuwa wapi ktk serikali 3

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Nilisikiliza mjadala TBC juzi ,ukiendeshwa na shaaban Kisu na wageni wakiwa Serukamba na Shibuda..nilichogundua ni kwamba Serukamba, hana taswira ya serikali 3, alichokua akiongea huku akionekana kabisa kabisa kuamini ktk moyo wake ni kwamba serikali 3 zinaondoa Tanzania.Pamoja na kwamba ktk maelezo yake alijitahidi kuweka hisia na mara nyingi hadi shaaban Kisu alikuwa akionekana kuona hakuna logic..maelezo yake yote yanaonyesha kuwa serikali 3 ndio jibu ila anamalizia kwa mbili na ujinga mwingine wa kudai mshikamano na umoja wetu wa kitaifa. Maccm yanasahau km ni mshikamano wa kitaifa basi serikali moja ndio best.Kitu ambacho hakitapewa maridhiano zenj.Hata shibuda mnafiki aliweza pigilia msumari ktk kura ya siri, pamoja na majungu yake huku akificha mengi ya rohoni...ila naye alipofikia kwa serikali 3 alionekana akiongoea illogical things. Kwa ufupi maCCM wanahitaji kuelemishwa na kufundishwa kuamini LOGIC....serukamba masikini anadhani kulia n akuweka hisia nyingi za kiudugu na mshikamano basi kutaondoa logic.anatia huruma sana.Serukamba hajui kuwa serikali 3 haiondoi Tanzania...wala haiondoi Ardh ya wanaojiiita watanzania....na hili na kwa ajili yake na Shibuda wote ni vilaza ktk hili.hajui wanaojiita wazenj ni watanzania,km wanaojiita watanganyika pia ni watanzania,na ardhi inabaki ileile..Hii ndio ilikuwa sababu ya hawa jamaa,waliojigamba na kuweka hisia..halafu wakamalizia kwa kusema watanzania watakwenda wapi..as if Tanzania itaondoka..Hapa ndipo CCM hawaelewi.
 
...Kakobe kamaliza kila kitu "maccma yamepigwa upofu"...
 
Hawa ni kama mbwa wazee, huwezi kuwafundisha kitu kipya. Wao huwa wanafata maelekezo, mfano sasa wanachojua kuhusu mchakato wa katiba ni KURA YA WAZI ili wawe wanamfuata Ole Sendeka kwenye foleni atakayoenda.
 
...Kakobe kamaliza kila kitu "maccma yamepigwa upofu"...
haha..serukamba kwa moyo wite mkunjufu hakuonekana kabisa kuelewa kuwa Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili, na ni lazima hizo nchi ziwepo ktk mkataka na solution ni serikali 3 au moja, km ni tatu basi serikali kuu itazisimamia hizi mbili, km ni moja basi patakuwa na nchi moja na serikali moja. wanauliza sasa watanzania watapata wapi Ardhi....haha......ha.km vile watanganyika si watanzania, au wazenj si watanzania, na km vile ardhi inaongezeka na kupungua kwa kuweka serikali 3.....km vile watanzania wataporwa kila kitu wapewe watanganyika..na wazenj?
 
Hawa ni kama mbwa wazee, huwezi kuwafundisha kitu kipya. Wao huwa wanafata maelekezo, mfano sasa wanachojua kuhusu mchakato wa katiba ni KURA YA WAZI ili wawe wanamfuata Ole Sendeka kwenye foleni atakayoenda.
haha.....sendeka ndio kiherehere wao...huyu jamaa nachukia tabia zake..huwa kanabenua makalio juu na kuhangaika sana akiwa ktk public places...huyu jamaa kila mji huwa anakuwa ktk hot spots za mji na kujipitisha hakuushi.Anasimama ,atatembea atapiga simu za hovyo, ataangaliangalia watu...mradi tuu wamuone na kujitambulisha kuwa ni sendeka.
 
Mnachoshindwa kuelewa ni kuwa kuwa mbunge sio tiketi ya kupata uelewa wabunge wengi mamburula sana tu. Kwa mfano............anajua nini
 
Mnachoshindwa kuelewa ni kuwa kuwa mbunge sio tiketi ya kupata uelewa wabunge wengi mamburula sana tu. Kwa mfano............anajua nini
halafu fikiria wabunge ndio msingi mkubwa wa kujenga watawala wa kisiasa....halfu uniambie hata maraisi wa mfumo km wa CCM wanakuweje..serukamba tayari ni maarufu sana ktk CCM..ingekuwa ni hapo nyuma kidogo angekuwa waziri,angeiba kidogo na kujiweka sawa naye ungesikia ana sifa za urais...
 
Kwani wakuu Serukamba ni Mtanzania mbona kama ni Mkongo vile wakuu anaejua detail zake au origin yake.
 
Kwani wakuu Serukamba ni Mtanzania mbona kama ni Mkongo vile wakuu anaejua detail zake au origin yake.
Hata mimi nilihisi hilo...Nikajipa mtihani tena hivi ukanda huo nani ni raia..kwajinis walivyo ni watu wa dilidili na kujibadili majina,nauraia na ukabila hadi wafanikiwe ndipo warudi ktk makabila yao.Kwani papii akiondoka TZ si alikuwa ka uraia wa burundi,baadaye congo, sijui na wapi.. Nikajaribu jiuliza huyu jamaa au anajipendekeza ktk hizi hoja ili kurahisisha njia na usalama wa uraia wake...?bado nikaona pia na kutjua dhana nzima ya mungano ni issue...pengine kwa kutokuwa raia inaweza kuchangia.Ila ndio imani ya wanCCM pia.
 
Back
Top Bottom