Nilizaa na Housegal

Muoe tu huyo msichana, kaanze kumsomesha hata veta, inaonekana unampenda sana, ila unaona tu aibu kwamba ni HG
kwani hawa wafanyakazi wa ndani wanatofauti gani na wadada wa ofisini kama siye?mbona tukienda ulaya na sie huwa tunakuwa watumishi tu wa ndani?au inakuwaje, hamuoni mifano hata kwenye tamthilia, wakaka wengi tu wanaoa watumishi wa ndani, aaaarghhh,, wasichana sijui watadhalilishwa mpaka lini
 
The best man is one who take care of his wife and chilldren ole wao wafanyao zinaa na kuwafanya wengine waangamie kwa maovu yao Baba yetu hatakuwa na huruma kwa watu hawa bali kwa kuomba msamaha kwa wale waliowakosea na hata kuwatendea mema wasibaki wakijuta kwa maumivu waliyopata..... huwezi kumwoa... unataka malezi ya baba na mama kwa mtoto..... mtendee mtoto wako haki ya malezi ya wazazi wake wote
 
je unaendelea kimapenzi na huyo dada?
Je huyo dada anaelewa msimamo na hisia zako?
Usioe m2 kwa sababu umezaa nae bali kwa sababu unampenda. Je wampenda? Je wataka awe mkeo? Usije mwoa na ukamwathiri mtotdn kwa familia isiyo na mapenzi na kujaa mafarakano.

Pia watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu, mshukuru mlee na kumpenda mwanao, spend muda mwingi nae. Wanaotaka kukufanya usimlee mwanao usiwasikilize, huwezi kumridhisha kila m2 duniani, mwanao ndo 1st priority
 

Shairi lako zuri sana.BIG UP UNAJUA
 
Muowe awe mke wako unasemaje?Umesha muharibia maisha yake, Hata kwa Mungu una makosa wewe ukimuacha Solelemba.



Unataka mwanao aishi na malezi mama na baba, ila hautaki kumuoa mama yake. Hakuna njia ya kufikia lengo lako isipokuwa kumuoa huyo Mke.




tatizo ulimpenda kwa ajili ya kumaliza haja zako na tayari ulikuwa na mapenzi nae sasa yamekuja matokeo unaanza kumuona mchafu .... acha tabia za ajabu kaa chini mjipange jinsi ya kulea mtoto



Hapa nimekusanya tu baadhi ya dondoo ambazo Wana JF wanakushauri. Maoni yangu ni kama ya hawa walonitangulia. Ninachokushauri uzipitie tena hizi, bbadaye mwenyewe utaamua.
 
Kaka kwanza mshukuru mungu kwa kupata mtoto kuna watu wanatafuta sana watoto hawapati, pili wape wote huduma, mtoto na mama yake coz mwanamke ukishamzalisha (tena mwenye maisha ya chini) ni sawa na kumuharibia maisha yake kwani si rahisi sana akapata mwanaume atakayemthamini.
Tatu, wala usijiskie vibaya, kwani alikubaka? si ulimtamani na mkaenjoy tunda pamoja? iyo ndo result, ipokee kama zawadi, hakuna haja ya kufeel guilty hapo, na wewe sio wa kwanza (hata mahita alizaa na hg hahahaa), we jua tu "SHIT HAPPENS"
 

Kumbukumbu gani mbaya hiyo mkuu? funguka 2weze kukushauri.
 

MKUU, nimesoma mkasa wako ulio ktk mtindo wa utenzi lakini nimeshindwa kukuelewa!!!!!! Utenzi wako unanionesha kwamba unajisikia hatia kuliko maelezo!!! Ningekuelewa kidogo kama ungesema ulikuwa na mke wako lakini ukazaa na housegal na sasa unajisikia hatia maradufu kutokana na kuisaliti ndoa yako!!!!! KIMSINGI, si-support hata chembe suala la wewe kutembea na housegal wenu (hata kama usingezaa nae) kv huwa si-support watu ambao ni opportunists!! Hata hivyo, am very concerned na vile unavyojikuta vile ulivyo na hatia kupitiliza!!!! Tell me, ni kv umezaa nje ya ndoa au kv umezaa na housegal?! Your child is FIVE years, na kutokana na maelezo yako, it's like hadi sasa hujaoa!! Then, tell me something bro; unataka kuniambia kwamba kwa muda wote huo hujawahi kutembea na msichana mwingine?! Kama YES, the well and good na una kila sababu ya kujiona very guilty kutokana na tukio la kuzaa na huyo housegal!!!! Kama umewahi, au bado unafanya; then tell me, hiyo hatia yako unayoihisi kwa kiwango kikubwa kiasi hicho inatoka wapi?! Jibu ninalopata ni kwamba unajihisi mwenye hatia maradufu kv sio kv ulizaa na housegal wenu; bali kv ulizaa na housegal.....it sound like she's nobody kuweza kuzaa na ww na ndio maana hutaki hata kumuoa!!! Kama hivyo ndivyo; unaweza kukwepa lawama kwamba ua opportunist?! I don' like the way u cry like ua a very innocent man; i don' like it coz' ua not but rather opportunist ambae una-take advantage of inferior women!!! Don' cry like a very innocent man while ua not! take things easy coz' ua not alone; even Omary Mahita, ex-IGP amezaa na housegal tena akiwa ndani ya ndoa; na amenyukwa faini ya millions of TZS baada ya kutaka kukataa!!!
 
Watoto wa shule za dini ndo zao.....kubanwa banwa ona sasa anatembea na hg. Nashauri amuoe dada huyo najua anachokataa labda ni muonekano wa dada, elimu, uwezo wa kifedha, nk. Vijana bwana, utaendelea kujuta tu kijana unapoteza muda. Tafuta kimeo kingine utacheki, kitazidi kukuchoma choma moyo. Tafuta mwanachuo ndo ulie mpaka ufe. Yaani unamtoto hutaki mama...dhambi gani hii?????
 

cha ajabu unakuta huyo binti atapata mume na ndo jamaa linarudi tena mkia nyuma kutaka kutembea naye.....vijana bwana, dawa yao viboko tu pumbafu sana
 
Kaka usiwaze tulikua pamoja mi nilikua nadhani kwamba nipo peke yangu,ahaaha hhhhhhhh.sema mi wakati nipo form three ndio nilifanya tendo hilo aisee mtoto ni mkubwa na yule beki tatu alishaolewa kitambo na hatuna mawasiliano hata kidogo zaidi ya kuwasiliana na wazazi wa yule beki tatu tuuu.kaka angalia mbele ...............
 
Hapa nimekusanya tu baadhi ya dondoo ambazo Wana JF wanakushauri. Maoni yangu ni kama ya hawa walonitangulia. Ninachokushauri uzipitie tena hizi, bbadaye mwenyewe utaamua.

Nimepitia kila neno ambalo ndugu zangu mumenishauri, japo mengine yamekuwa ya ukali sana kwangu na wengine wamenisononesha sana kwa kunilaumu au hata kudhani sitaki kumwoa binti huyo ati kwasababu alikuwa housegal.
I believe in human kind and respekt to all, mie ni nani wa kujifanya ati ni binadamu bora?
Nilitenda hvyo nikijua ni housegal japo matokeo yalikuwa ya kuumiza zaidi kwangu na hasa kwake..
Nampenda na ntaendelea kumpenda siku zote kwa kunizalia na mpaka sasa kumlea mwanangu japo si kwa hali ile ya wengi tunavyoamini.
Napata huzuni hasa kwa kuzaliwa nje na pia mwanangu naye kupitia njia ile ile.
Najiamini mie ni mtu ninaejali sana utu heshima na haki za wanawake, japo kwa huyo nilimkosea sana..
Nawashukuru sana kwa urhauri wenu wa kujenga.
Nisameheni mwenzenu na nihukumuni kwa ubinadamu usio kosa kasoro.

'Man still a man wether rich or poor what we look is wether him good or evil.
Bless Idrens..!
Much love!
 

thanks,
i like the way umeyapanga mawazo na kuhusianisha na mistari ktk vitabu tukufu..
Niko katika kipindi cha fikra kuu..
Nadhani nahitaji muda zaidi wa kuomba na kukaa kitako juu ya nini hatma ya suala hili.
Nategemea ntafanikiwa na ntakuja kuwapa nini ambacho nimeamua..
 
sometimes THE PAST CAN ENCOURAGE THE FUTURE

but sometimes THE PAST CAN DISCOURAGE THE FUTURE

kazi kwako
 
Kama unampenda penda mwoe.kama huna hisia nae mweleze kwa utaratibu akuelewe.na pia umsaidie katika maisha(katika kumsomesha au kumpa msingi wa biashara).kuhusu mwanao kumlea usijali.akipata mama mdogo mbona huwa wanaadapti malezi ya mama wapya mapema tu.ili mradi apewe upendo kutoka kwa huyo mama mdogo.wewe sio wa kwanza kuzaa na beki3 na hautakuwa wa mwisho.fanya kile hisia ya moyo zinakutuma.usije mwoa ukaishi maisha yote kwa kusononeka kuwa kama singezaa singemwoa.
 
Kipindi hicho namaliza kidato cha sita binti mrembo nyumbani akaingia..

Hivi inakuwaje wakati ajapo ulimuona binti mrembo halafu leo bila aibu unatwambia huwezi kumuoa!
Ni nini kinachokufanya usimuoe, si unajua umuhimu wa malezi ya baba na mama kwa mtoto? Unless...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…