Kweli mkuu ngoja niedit huu uziNi vizuri kujipongeza ila ktk bandiko lako umesahau hata kumshukuru aliekufikisha siku hii nawe ukaweza kuhesabu namba ikiwa tofauti na mwaka jana,ni wengi walitamani kuwa kama wewe hii'leo ila hawajaweza!btw happy birthday.