trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
Kaumia sana moyoni,kwa kashfa nilizotoa,binafsi hata moja sikumaanisha! .
Jana kaniambia tuachane,imeniuma,nakumbembeleza ! Nimemwambia nastop pombe kwa 2years. . .
Ni mchumba wangu,tuna malengo mengi,,tupo pamoja mwaka wa 4 sasa!
Anadai kachoka kuvumilia,kwasababu ni mara ya 3 narudia kitendo hiki,. .Mara ya pili nilitia hadi tumakofi. . .
Anaheshima,katulia,mimi ndo nakuwaga kidogo nje ya mstari nikipasha sana!. .
Bado namtaka,nifanyeje kwa sasa!
Kuna msemo wanasema wahenga kuwa maneno ya mlevi huwa ndiyo aliyonayo moyoni!Mimi naamini hizo kashfa ulizompa ulikuwa nazo siku nyingi tu moyoni mwako!Huyo mwanamke akikukubalia muendeleze mahusiano atakuwa hana akili!Wewe level zako tafuta ma-barmaid tu!Samahani sikutusi Mkuu lakini nakupa ushauri mwafaka!!
Nipe contact zake ili nikusaidie kumbembeleza!
dah. . .Nahis kama ilihusika hii. . Ila what caused all this won't be given a chance again
Wapo watu wameshakupa ushauri mwingi tu, wasi wasi wangu isiwe kuwa bado umelewa halafu ushauri ukashindwa kuuelewaKaumia sana moyoni,kwa kashfa nilizotoa,binafsi hata moja sikumaanisha! .
Jana kaniambia tuachane,imeniuma,nakumbembeleza ! Nimemwambia nastop pombe kwa 2years. . .
Ni mchumba wangu,tuna malengo mengi,,tupo pamoja mwaka wa 4 sasa!
Anadai kachoka kuvumilia,kwasababu ni mara ya 3 narudia kitendo hiki,. .Mara ya pili nilitia hadi tumakofi. . .
Anaheshima,katulia,mimi ndo nakuwaga kidogo nje ya mstari nikipasha sana!. .
Bado namtaka,nifanyeje kwa sasa!
hahahahahahah,dah ndugu hapo kwenye chakaramu umenichekesha kidogo. .Kati ya marafiki zangu 20,wawili ndo wenye gf/wachumba waliotulia kama huyu wangu!. .
Sidhani kama ntakosa nafasi nyingine kwake!. .Tunapendana sana!
Hapo pakuacha kabisa nadhani patafanyiwa kazi zaidi! Naogopa sana kula hiko kiapo! Ata tu taska tuwili nisitupige. ![/QUOTE]
Sasa kama mnapendana sana kwanini unampiga!? Huko unakozinywa pombe zako umeshawapiga mabarmaid wangapi au wanywaji wenzako wangapi uliowahi kuwapiga kutokana na kilevi? au husubiri mpaka urudi nyumbani ndio ukalionee punching bag lako...ukinywa tutaska tuwili utadai hatunitoshi hutu ngoja niongeze tungine tuwili ukija kustuka umekunywa tutaska tutanane!!! Kama kweli unampenda sana huyo binti achana na hiyo kitu!!!!
Kuna msemo wanasema wahenga kuwa maneno ya mlevi huwa ndiyo aliyonayo moyoni!Mimi naamini hizo kashfa ulizompa ulikuwa nazo siku nyingi tu moyoni mwako!Huyo mwanamke akikukubalia muendeleze mahusiano atakuwa hana akili!Wewe level zako tafuta ma-barmaid tu!Samahani sikutusi Mkuu lakini nakupa ushauri mwafaka!!
asante kwa mchango wako mkuu. . .Awali nilikua sijajitambua kwa kina. .<ndo mana kosa limejirudia>. .Ila now nipo very determined. . .Nimeamua kuachana nayo kimoja. . . Stak gundu mie. .Akinirudia ase. .Ntagonga like members wote,kwasababu najua ngependa nirudiane na shemeji yenu eNDAPO NTAACHA KABSaaa! Kitu ambacho nakipanga sasahahahahahahah,dah ndugu hapo kwenye chakaramu umenichekesha kidogo. .Kati ya marafiki zangu 20,wawili ndo wenye gf/wachumba waliotulia kama huyu wangu!. .
Sidhani kama ntakosa nafasi nyingine kwake!. .Tunapendana sana!
Hapo pakuacha kabisa nadhani patafanyiwa kazi zaidi! Naogopa sana kula hiko kiapo! Ata tu taska tuwili nisitupige. ![/QUOTE]
Sasa kama mnapendana sana kwanini unampiga!? Huko unazozinywa pombe zako umeshawapiga mabarmaid wangapi au wanywaji wenzako wangapi uliowahi kuwapiga kutokana na kilevi? au husubiri mpaka urudi nyumbani ndio ukalionee punching bag lako...ukinywa tutaska tuwili utadai hatunitoshi hutu ngoja niongeze tungine tuwili ukija kustuka umekunywa tutaska tutanane!!! Kama kweli unampenda sana huyo binti achana na hiyo kitu!!!!
Jana ililetwa hapa mmoja karudi home amevaa ndomu iliyojaa mchuzi, huyo kasingizia pombe! Huyu wa leo naye mitusi hadi kidogo mtoto wa watu apate mtikisiko wa ubongo! Na yeye ukiuliza sababu....pombe!! Hivi mtu usipokunywa pombe unapungukiwa nini hasa???
asante kwa mchango wako mkuu. . .Awali nilikua sijajitambua kwa kina. .<ndo mana kosa limejirudia>. .Ila now nipo very determined. . .Nimeamua kuachana nayo kimoja. . . Stak gundu mie. .Akinirudia ase. .Ntagonga like members wote,kwasababu najua ngependa nirudiane na shemeji yenu eNDAPO NTAACHA KABSaaa! Kitu ambacho nakipanga sasa
Katika juhudi zako za kuomba samahani mwambie asome hii thread na huku ukiendelea kuomba usamehewe. Kila la heri.
sawa sawa,,,tanks alot
...you're welcome Mkuu...ukifanikiwa rudi hapa kuufahamisha umma wa JF.