Nillipenda Sana interview ya z Anton na ferooz wasafifm

Nillipenda Sana interview ya z Anton na ferooz wasafifm

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Ijumaa ilifanyika interview ya z anton na ferooz Kwenye kipindi Cha block 89 Cha wasafifm ile interview was superb Ila nimependa pale jonijo alivyonuuliza swali ferooz ngoma ipi zako zote uliona uliandika Sana? Ferooz akamjibu ngoma ya starehe z Anton akapiga meza na kusimama na kumshika mkono ferooz kuonesha hata yeye hiyo ngoma anaielewa Sana.Hapa z Anton ameonesha ukubwa kwa kukubali kazi ya mwenzake waziwazi japo nae alifanya vizuri kipindi hiko lakini tukija wasanii wetu wasasa ni nadra Sana kukuta msanii mkubwa kukubali kazi ya mkubwa mwenzako au kizuri alichofanya mwenzako wengine wanakimbia interview akiulizwa kuhusu msanii mwenzake.
 
Yani hilo tukio ndo limekufanya ufungue uzi😂😂😂duuh
 
Kwani wasikilizaji wengine wanamaoni gani juu ya hilo suala
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi tayari.
 
Hahaha jaman sis tunaotumia iPhone why hamna wasaf au ni channel ya?
 
Ijumaa ilifanyika interview ya z anton na ferooz Kwenye kipindi Cha block 89 Cha wasafifm ile interview was superb Ila nimependa pale jonijo alivyonuuliza swali ferooz ngoma ipi zako zote uliona uliandika Sana? Ferooz akamjibu ngoma ya starehe z Anton akapiga meza na kusimama na kumshika mkono ferooz kuonesha hata yeye hiyo ngoma anaielewa Sana.Hapa z Anton ameonesha ukubwa kwa kukubali kazi ya mwenzake waziwazi japo nae alifanya vizuri kipindi hiko lakini tukija wasanii wetu wasasa ni nadra Sana kukuta msanii mkubwa kukubali kazi ya mkubwa mwenzako au kizuri alichofanya mwenzako wengine wanakimbia interview akiulizwa kuhusu msanii mwenzake.
Uko sahihi sana ni vizuri kukubali na kuheshimu kazi nzuri ndivyo nchi zilizoendelea wanafanya
 
Back
Top Bottom