Ahaaaaa mimi nilipigishwa msele mahali fulani ya kila siku saa kumi nafata na kumpeleka kimara kwa miaka2!!dah nilipokuja kustuka nikaanza sababu za gari mbofu!!kuna mtu nilimfanyia mambo makubwa mazuri, baadae nikagundua mie bonge la mjinga, nikamwaga mazima, i see.....umenikumbusha mbali sana.....
Hata yeye simkumbuki.
Naomba nikuigilizie mwaya.
Ahaaaaa mimi nilipigishwa msele mahali fulani ya kila siku saa kumi nafata na kumpeleka kimara kwa miaka2!!dah nilipokuja kustuka nikaanza sababu za gari mbofu!!