VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
Una mawazo chanya+ naunga hoja kwa asilimia 100Atakuwa kaona huna hela wewe,jitahidi kusaka pesa usiku na mchana ukifanikiwa kuzipata nakuhakikishia atarudi na kukupa kila ukitarajiacho
Natumaini tu atakuwa addicted kwangu na twaweza peleka mahusiano yetu hatua mbele..Usiseme kajitoa JF,unadhani addiction ya JF ni ndogo namna hiyo?
Hapo kabadili ID....uzi wako huu utamfikia
Pole
asanteUsiseme kajitoa JF,unadhani addiction ya JF ni ndogo namna hiyo?
Hapo kabadili ID....uzi wako huu utamfikia
Pole
Ni pale unapomkosa mtu katika maisha yako ndio unatambua umuhimu wake.!!!![emoji848][emoji2827]Katika hali ya kutatanisha nilijikuta nimefall inlove na mwana JF mwenzangu. Tulianza kimzaha lakini baadae kizaha zaha! Radi HUPIGA mara moja.
Bahati mbaya shetani aliingilia kati na kuzua taharuki kwenye mahusiano yetu! Nitampata wapi huyu binti jf kaisha jitoa na mpaka namba za simu kabadilisha! Ni pale unapomkosa mtu katika maisha yako ndio unatambua umuhimu wake.
My future wife please rudi.
She wasn't serious... Nobody is perfect..! You forgive them you have a fresh starthopeful sio too late
She wasn't meant to be he's..ndo maana kasepaUsiseme kajitoa JF,unadhani addiction ya JF ni ndogo namna hiyo?
Hapo kabadili ID....uzi wako huu utamfikia
Pole
True happiness resides in the questhopeful sio too late
mpaka naposti kwenye public ujue ni mwanamke wa kipekee na nimemwelewa zaidi dunia nzima itambue love is realUnalia nini sasa
classified intelligenceUlitumia kondom????
Never regret! If its gud its wonderful.if its bad ni experience.Ni pale unapomkosa mtu katika maisha yako ndio unatambua umuhimu wake.!!!![emoji848][emoji2827]
Majuto huja mwishoni