Nime vungua shuo sha kufundisa kuzoma

Au sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunatowa mafuzo ya helimu kwa wasoyo jui kuzoma na kuhandika hada zetu ni nafuhu

Azande zana.
Tofauti na wengine, mimi naomba nikupongeze kwa kuweza kuona kuwa tuna tatizo kubwa la kujua kusoma na kuandika. Kila la heri kwa kuwa una kazi ya ziada kutatua hili tatizo.
 
Tunatowa mafuzo ya helimu kwa wasoyo jui kuzoma na kuhandika hada zetu ni nafuhu

Azande zana.
Wewe mwenyewe hujui kuandika hahaa!, angalio ulivyo andika halafu tuje kujifunza kuandika utatupotosha bana
 
Mkuu hili darasa lako ni zuri ila itakubidi uende Burundi na Kongo ndio unafanana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…