Nime wamiss wa dada wa jf

Funguka kidogo mrembo



basi tu tunajisikia raha na ufahari kubembelezwa,kutusikiliza hisia zetu ati! huyu hujamfatilia tu comments zake huwa ana matusi makali !huwa nahis muda wote yupo #high'!binafs nahis mwanaume mwenye kutukana tukana anakosa [HASHTAG]#ladha[/HASHTAG] ya kuitwa [HASHTAG]#mwanaume[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…