Kho Kho Kho KhoKaribu tena tumekumiss pia
Nikuletee redbull au mana naona umebanwaKho Kho Kho Kho
HahahaNikuletee redbull au mana naona umebanwa
Pole, najua unapenda ibada sjui nin imekukwaza, jitahidi upate hata dkk 5 za kushujuru kwa uzimaLeo sijaabudu
Nimeacha
Kumbe unaipenda sana ya baridi sana au wastani jamanHahaha
Naomba juice ya apple
OkayPole, najua unapenda ibada sjui nin imekukwaza, jitahidi upate hata dkk 5 za kushujuru kwa uzima
Baridi saana, halafu ningepata na karanga daahKumbe unaipenda sana ya baridi sana au wastani jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwehu wewe ndio mana unazidi kuwa bonge tu mfyuuuBaridi saana, halafu ningepata na karanga daah
Hivi ni nini kunitamanisha Shunie.... Mungu anakuona ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwehu wewe ndio mana unazidi kuwa bonge tu mfyuuu
Hivi dada kwa nini we mroho lakini jamaanHivi ni nini kunitamanisha Shunie.... Mungu anakuona ujue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sakayo mambo?Leo na Kesho
HahahaHivi dada kwa nini we mroho lakini jamaan
Mambo?Abeeeh
Poa mrembo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sakayo mambo?
Poa chimamy akee za weweMambo?
Sawa dada inabidi nikupime mkojo kwanza ndio nianze kukupa vitu vitamuHahaha
Na nimroho si kidogoo... Vitu vitamu tamu ndo utaniteka
HahahaSawa dada inabidi nikupime mkojo kwanza ndio nianze kukupa vitu vitamu
Ndio dada kuwa mroho mroho ujue nao ni uchochezi kwa kipindi hikiHahaha
Yamekuwa hayo teenaa
SawaaaaNdio dada kuwa mroho mroho ujue nao ni uchochezi kwa kipindi hiki