Nimeacha kumtumia ya matumizi mke wangu aliyeko Dar baada ya thread zenu za kumegeana huko jijini

Sasa ujuwe ataliwa kweupeee,
mtumie tu hiyo hela;
 
haaahhah shemej wewe nakujua vzr sana wala sishangai tatizo la uyo mtu amesema ni mkewe so ni haki yake kutoa hela yaan we mtoa mada ndio mm ningekua mkeo na hela hutumi ukirudi unakuta mwanaume mwenzio ndani

Kama ni mkewe anapaswa kumpa matumizi hiyo ni lazima sio ombi
 
kuna watu wanatoa uamuzi km vile wana roho ya paka.
 
haaahhah shemej wewe nakujua vzr sana wala sishangai tatizo la uyo mtu amesema ni mkewe so ni haki yake kutoa hela yaan we mtoa mada ndio mm ningekua mkeo na hela hutumi ukirudi unakuta mwanaume mwenzio ndani
na mwanae anamwita baba
 
Hongera sna mkuukwa uamzi mgumukama huo, wanaume wa DAR hawafai. Usije ukakyta wamesha mtundika mimba nyingine.
 
Umefanya uamuzi wa busara sana mkuu manake hakuna namna; itabidi aongeze rate ya kumegwa ili ku-sustain maisha ya jiji!

Hata hivyo, mjini hatusemi amekalia kitu bali amekalia BOMBA ili uzidi kupata maumivu!
Na pengine hapa DAR anakalia kigogo pia!!!
 
Mke umemsusa sawa
Na mwanao je?
Ama kweli mkeo shughuli anayo.
Subiri wanaojua thamani ya mke wakusaidie na kumchukua jumla uje tena kulialia hapa.
 
Sasa usitelekeze familia kama unafikiria huko dar wanakumegea fanya mchakato ukamchukue ukae nae huko uliko itakuwa poa!

-Nyerere-
 
Kama ni mkeo pls usifanye hiyo kitu. Ndio utazidi kuharibu mambo yako. Lakini kama ni mchepuko au tu mtu unaishi nae... sawa.

Lakin usiache damu yako iteseke.
 
*HASIRA zikikutawala BUSARA zote hukimbia.
*HUZUNI ikikuteka AFYA yote inanyong'onyea.
*WOGA ukiwa mwingi hata BAHATI zako utaziogopa.
*MAWAZO ukiyapa nafasi hata pasipo TATIZO wewe utaona TATIZO TU
 
Okeyyyyyyyyyyy.....









Basi sawa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…