KimChi
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 122
- 161
Wadau habari,
Nimekuwa ni mpenzi sana wa kutumia sukari, chumvi na pilipili nyingi siku za nyuma, nina miaka 27 na siku ambazo nilitumia sukari kidogo ni zile tu ambazo nilikuwa shuleni boarding (std 1 had form 6) na chuo sikuwa nakunywa chai, chumvi na pilipili nimetumia nyingi kwa kipindi chote hicho, soda nilikunywa mara nyingi nilipokuwa chuo, bia na vinywaji vikali natumia mara chache na kidogo sana(kukiwa na party tu).
Kama mwezi umepita nimeacha kutumia sukari kabisa na chumvi nimepunguza hii ni baada ya kuamua kujipunguzia uwezekano wa kupata magonjwa yatokanayo na matumizi ya vitu hivyo kwa wingi huko utu uzimani. Swali ni je kuacha kabisa ni suluhisho au kuna madhara yoyote kiafya kwa kuacha kutumia kabisa hivi vitu.
Nimekuwa ni mpenzi sana wa kutumia sukari, chumvi na pilipili nyingi siku za nyuma, nina miaka 27 na siku ambazo nilitumia sukari kidogo ni zile tu ambazo nilikuwa shuleni boarding (std 1 had form 6) na chuo sikuwa nakunywa chai, chumvi na pilipili nimetumia nyingi kwa kipindi chote hicho, soda nilikunywa mara nyingi nilipokuwa chuo, bia na vinywaji vikali natumia mara chache na kidogo sana(kukiwa na party tu).
Kama mwezi umepita nimeacha kutumia sukari kabisa na chumvi nimepunguza hii ni baada ya kuamua kujipunguzia uwezekano wa kupata magonjwa yatokanayo na matumizi ya vitu hivyo kwa wingi huko utu uzimani. Swali ni je kuacha kabisa ni suluhisho au kuna madhara yoyote kiafya kwa kuacha kutumia kabisa hivi vitu.