ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Hongera, kumbe walevi walikuwa na kiongozi?Nina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
Kwa hiyo umejenga maghorofa mangapi?, watu wengine bhana wanapenda sana uchokoziNina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
Umeishiwa pesa mkuu?Nina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
Utakuwa ulifirisika ama ulikabiliwa na maradhi... pole sanaNina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
Uligombea na nani hadi ukamshinda na kuwa kiongozi wao. Je uliongoza tawi, wilaya, mkoa, au taifa. Je baada ya kujiuzulu unarudi tena kugombea kupitia chama ulichohamia kuunga mkono? Wapiga kura wako unewambia nini wakati unajiuzulu?Nina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
HongeraNina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
Hongera zako..Nina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu
toka uache pombe umefanikiwa kufanya jambo gani la maana
Hongera zetu sote kwa pamoja mkuu, mimi tangu niache pombe nimejikita kwenye biashara ya pikipiki (bodaboda) 8 nimewapa vijana kila wiki wananiletea money pesaNina mwaka wa tatu huu tangu niache mvinyo. Ni raha sana. Enzi zangu nilikua kiongozi wa walevi. Asante Mungu