Nimeacha SEX! Eeeeh Ero jipe nguvu ushinde!


Halafu we kama walivyosema kwenye uzi mwingine kuleee, lazima utakua ni mama rwakatale kweli wewe!, Ila nimependa kauli mbiu yako ya SEX SEX YES.
 
ticah nice step foward! u hav decided now the actions are required all the best! believe me utampata wako wa moyoni, wa kukukuna usiku na mchana, japo 'danganya danganya' usiikatae ni chachu ya mapenzi, kama royco kwenye mboga!
 

Tupo tusiojali history mkuu ila yeye awe decisive sio kusema akae tena mwaka.We unadhani huo mwaka ataumaliza bila kuingia mtegoni??
 


Sibembelezwi wala sibembelezi! sifanyagi mambo yangu kwa kukurupuka hivo nisipopata patna

anaefaa kuwa mume ni heri nikarudi maisha yangu ya kawaida nikazaa na yeyote na life goz on!

siwezi trit ndoa kwa vigezo vya propozo. mie tunaoana nahakikisha tunapendana na utamke kwa kinywa chako.

ili ukinicheat or ukinitenda isiwe kazi kwangu kukusaza! hutaki ondoka! ulipoweka hiyo propozo

ulitumia vigezo gani hali unajua nishalala na hao 29, ukute hata zaidi wengine nilikuwa nasahau kuhesab!
 
Halafu we kama walivyosema kwenye uzi mwingine kuleee, lazima utakua ni mama rwakatale kweli wewe!, Ila nimependa kauli mbiu yako ya SEX SEX YES.



teh teh teh.
 

Kule ni masaburi huku ni koni...wapi na wapi? WW ndio hudanganyiki?
 

Ha..ha..ha...you are something binti.kila la kheri na hizo endeavours zako.
 
ticah nice step foward! u hav decided now the actions are required all the best! believe me utampata wako wa moyoni, wa kukukuna usiku na mchana, japo 'danganya danganya' usiikatae ni chachu ya mapenzi, kama royco kwenye mboga!


umeona eh? thnx mamito.
 
Tabu kweli kweli wanaume 29 umetembea nao na bado unataka wanaume mwingine we mkali licha ya hivyo unaonaje ukaipumuzisha mashine yako itoke kwenye used iwe brand new kama ya mtoto mdogo wa miezi 6 ila hongera kwa kutumikia vifaa tofauti tofauti.

(A BIG LIAR SHOULD HAVE A BIG MEMORY.)
 
Tupo tusiojali history mkuu ila yeye awe decisive sio kusema akae tena mwaka.We unadhani huo mwaka ataumaliza bila kuingia mtegoni??

Ambitious mbona unaelewa yote haya lakini unaniangusha? :A S 12:
 
Last edited by a moderator:
nakuona tu. hajambo FirstLady1? mie simpendi.

sbb alinipeperushia. akitaka awe kungwi wangu nitamsamehe.

FL1 yule kaolewa. Mi si mwizi wa vitu vya watu wala visivyo na wenyewe. Naogopa, nimeshashikwa masikio.
 
Kwahiyo umeshamaliza kula hiyo kitu...basi ntakukaribisha kunywa mvinyo na Jack Daniel


teh teh teh. mie huo ni mwanachama siku nyingi. doz kila wkend.
 

Atapata tu maana ma-porn stars wenzake wapo. For sure kwa experience yako bila kupata porn star hutadumu kwenye uhusiano unaoutafuta
 
elly_black, mi avatar yako tu, kha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…