Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie wakulipeNimemaliza siku 30 toka nipewe termination lakin hawataki kunilipa hela ya likizo pamoja na naulinya kunirudishwa walikonitoa nimesaini toka terhe 6 mwezi wa kumi mpaka sasa wananizungusha msaada nifanyaje?
Nimemaliza siku 30 toka nipewe termination lakin hawataki kunilipa hela ya likizo pamoja na naulinya kunirudishwa walikonitoa nimesaini toka terhe 6 mwezi wa kumi mpaka sasa wananizungusha msaada nifanyaje?
Changamoto wanasheria wanataka hela ndefu ,, yaani nilikuwa nafanya kazi kampuni ya ulinzi waliniajiri kutokea mkoani toka waniterminate na barua wamenipa tumesainishana na malipo lakini hawanisikilizi hata nauliza kama kuna taasisi naweza pata msaada wa bila malipoTafuta mwanasheria.
Ahsante Kwa ushauri wako ila yachuje kwanza majibu yakoWaambie wakulipe
Kama siku hazijatimia 30 kamili fanya mpango uende CMA hapo utapata msaada zaidi ya kisheria, hiyo CMA ni tume ya usuluhishi wa migogoro kama hiyo yako, na kisheria inapaswa kulipwa nauli kama mkataba ulisainia mkoa mwingine na ukapelekwa kituo sehemu nyingine ya kazi.Changamoto wanasheria wanataka hela ndefu ,, yaani nilikuwa nafanya kazi kampuni ya ulinzi waliniajiri kutokea mkoani toka waniterminate na barua wamenipa tumesainishana na malipo lakini hawanisikilizi hata nauliza kama kuna taasisi naweza pata msaada wa bila malipo
Asante kushukuru.....Kuna chujio la chai na la nazi,labda utoe muongozo nitumie lipi🤑Ahsante Kwa ushauri wako ila yachuje kwanza majibu yako
Pole sana kiongozi, umefanya nao kazi kwa muda gani hao...Ahsante Kwa ushauri wako ila yachuje kwanza majibu yako
Nimefanya nao miaka miwili mkuu ila washanilipa tayari japo ilinichukua mda mpaka nikaenda kulalamika Kwa manisipaa kinondoni ndo wapigiwa simu wakanilipaPole sana kiongozi, umefanya nao kazi kwa muda gani hao...