Nimeachiwa Mtoto Ndani ya Daladala!!!!!!

We hujatulia kweli, mara utuambie unaoa January mara useme Nilham umeumbwa ukaumbika, sijui ukoje wewe?
hajatulia kabisa huyo, mara ooh bwana amenitoa pepo la puny.eto mara umeumbika wapi na wapi bana
 
duuuuhhh haya maisha bwana yana visa vyake.....
 
ukikutana na mkuu cheusie akiwa hajalewa mbege utampenda kwa mapwent kama haya...................!
Ila akiwa kalewa mbege haoni hatari kuandika vitu vinavyofanana na hii signature yake mpya......................!

we baba ntake radhi kwa kunishishia hadhi yangu eti mbege,mie wa supu ya mawe bwana.
just joking father,hujambo?
 
ukikutana na mkuu cheusie akiwa hajalewa mbege utampenda kwa mapwent kama haya...................!
Ila akiwa kalewa mbege haoni hatari kuandika vitu vinavyofanana na hii signature yake mpya......................!

Tulijua mtachonga sana tu soma na hii hapa chini.
 
hongera sana kwa hiyo umejipatia mtoto bila kumtolea jasho
Mmefanya vyema kwenda police labda huoyo dada aliona hana uwezo wa kutunza mtoto ni vema amuache katika mikono salama
Lakini una wife ?asije akakugeuzia kibao mheshimiwa


Wife badala ya kushangilia amepunguziwa mzigo wa kwenda labor anaanza kelele. Kina mama naohamjambo kweli kwa mizengwe
 
thanks but baby tumemwacha katika mikono salama. Sina wife dats y nimeona itakuwa shida kumpa nids zote anazohitaji.


mtake radhia mungu yaaani police watu salama wale ni nyoka kama uamini kamwangalie kama ujaona vipele vya mbu vilivyomzunguka kama mbu wa muhimbili
 
mchukue na mlee... huenda ukawa babab mlezi wa rais wa kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…