Nimeachwa na mpenzi wangu, nifanye nini niimudu hali hii?

Tongoza mwingine.
Ukiua ww si wa kwanza kuua na maisha duniani yataendelea vizuri tu
Ukijiua ww si wa kwanza kufa na maisha duniani yataendelea vizuri tu
 
shkraan saan mkuu
 
Acha kulialia hujaamua kutafuta replacement wiki tu unafanikiwa
 
We mpenz tu? Mm nlishaachana na mke wa ndoa na maisha yanaendelea
 
Kisaikolojia mwanamke akishafikia hatua hiyo jikaze kiume na u-move on mzee. Shughuli ishaisha hapo. Kama unavyojua wenzetu wanaendeshwa kwa hisia, zikishahama tu hamna mapenzi tena. Sasa jifanye king'ang'anizi uone actions zake, utakubali
 
Utamuacha na utasahau kabisa.mwanzoni ndo pagumu Sana.
Fanya ivi hauna kitu kingine unachokipenda ukifanye like mazoezi,mziki ,uende club ukale mziki mnene unaopiga mpaka kwa moyo unadunda.
Ama tafuta mdada mwingine mtoke naye out,ama hata Kodi mdada akuweke sawa maana emotions ziko strong Sana.
So unaona kuwa unataka kuua.
Sasa mwili wake ama wako ndugu.
Kama ajisikii kuliwa na wewe muache akaliwe na anayejisikia.
Ungekaa nje kidogo ukajua kuwa mapenzi hayalazimishwi.
Unaopoa demu wa kirusi unamleta rumu hostel kufika anamkubali mshkaji mmoja ivi matata kuliko wewe.
Demu anakuambia mie napenda huyu anile ukimaindi anakuambia kuwa kwani mwili ni wako mpaka unipangie wa kunila.
Yabidi uwe mpole mkuu.
Nje wadada ama ke Wana haki kinouma.wao kwanza second pets third ndo sie men.
Demu kule akiwa anataka umkule ukikataa unashtakiwa Mana utaambiwa kuwa unamuathiri kisaikolojia,kazi hatafanya vizuri na je akijiua utajibu Nini Ila wewe unaambiwa kuwa ni mwanaume.
Yabidi umkule mkuu.
 
Wewe kweli ni green kama jina lako.

Hebu kata makofi mawili ukute ni kisirani cha period.
 
Shukran mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…