nimeajiriwa kwa mkataba,naweza pata mkopo toka bank?

nimeajiriwa kwa mkataba,naweza pata mkopo toka bank?

frozen

Senior Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
135
Reaction score
32
wadau habarini. na biashara yangu nataka iendeleza, sasa naitaji mkopo kuweza fikia lengo hilo. nimeajiriwa kwa mkataba, na mshahara wangu si mbayaz. swali lamgu juna bank ambayo unaweza kunikopesha kwa kutumia salary slip yangu?
asante
 
Mkopo unapata, piga hesabu umebakisha muda gani mkataba uishe....kutokana na mshahara wako nenda benk kama utaweza kulipa kwa kipindi kilichobaki......
 
Back
Top Bottom