habari zenu wakuu, nimeajiriwa katika secta binafsi na ninamwaka mmoja sasa katika ajira hii, nimekuwa nikifuatilia habari za upatikanaji wa mikopo( hasa humu JF) na kwa taarifa ninazoziona ni kuwa mikopo inahitaji dhamana ya mali mfano nyumba, viwanja au gari vitu ambavyo mimi siko navyo. sasa nilikuwa nahitaji msaada kwa wale wenye ujuzi/uelewa wa hitaji langu,naomba mnijuze yafuatayo;
1) je ninaweza kupata mkopo benki( hasa CRDB) kwa kutumia hii ajira yangu
2) kama ni ndio, je nifuate taratibu zipi au vitu gani vinahitajika
3)nimetazamia kukopa kiasi cha 2M, basic salary yangu ni laki tano(500000 tsh) je inawezekana, marejesho yake inakuwaje(muda, riba), or minumum and maximum amount ambayo naweza kukopeshwa ni kiasi gani
N.B
nimweka benki ya CRDB kwa sababu ya kwamba ndiko mshahara wangu unapowekwa na mwajiri wangu
unaweza nipa maelezo au ushauri wowote kuhusiana na mada yangu kwa sababu lengo kuu ni kupata mkopo kulinga na hali yangu niliyoieleza hapo juu,
Akhasante
1) je ninaweza kupata mkopo benki( hasa CRDB) kwa kutumia hii ajira yangu
2) kama ni ndio, je nifuate taratibu zipi au vitu gani vinahitajika
3)nimetazamia kukopa kiasi cha 2M, basic salary yangu ni laki tano(500000 tsh) je inawezekana, marejesho yake inakuwaje(muda, riba), or minumum and maximum amount ambayo naweza kukopeshwa ni kiasi gani
N.B
nimweka benki ya CRDB kwa sababu ya kwamba ndiko mshahara wangu unapowekwa na mwajiri wangu
unaweza nipa maelezo au ushauri wowote kuhusiana na mada yangu kwa sababu lengo kuu ni kupata mkopo kulinga na hali yangu niliyoieleza hapo juu,
Akhasante