Hii ni kutokana na kulaumiwa sana na mashabiki kwa kutolewa Klabu Bingwa Afrika. Kosa lililofanyika ni mashabiki wao kudanganywa na kuwa na matarajio makubwa mno.
Kwenye soka kuna wavakati wachezaji wanachoka, hata kama ni wazuri kiasi gani. Yanga hawajazoea kucheza mechi mfululizo. Tayari nimemsikia mwalimu wao akilalamika eti ratiba ngumu.
Angepangiwa ratiba kama aliyokutana nayo Simba miaka miwili mfululizo sijui angesemaje? Sasa wapo kwenye michuano ya kimataifa, hivyo watarajie ratiba ngumu hakuna jinsi.
Ila kwa wanavyopenda sifa za hapa nyumbani watajilegeza mechi za shiriksho ili watolewe wabaki na ratiba nzuri hapa nyumbani kama waliyokuwa nayo mwaka jana
Kwa saa hiyo Aziz anawaza kuondoka dirisha dogo, amechoka na gubu.
Kwenye soka kuna wavakati wachezaji wanachoka, hata kama ni wazuri kiasi gani. Yanga hawajazoea kucheza mechi mfululizo. Tayari nimemsikia mwalimu wao akilalamika eti ratiba ngumu.
Angepangiwa ratiba kama aliyokutana nayo Simba miaka miwili mfululizo sijui angesemaje? Sasa wapo kwenye michuano ya kimataifa, hivyo watarajie ratiba ngumu hakuna jinsi.
Ila kwa wanavyopenda sifa za hapa nyumbani watajilegeza mechi za shiriksho ili watolewe wabaki na ratiba nzuri hapa nyumbani kama waliyokuwa nayo mwaka jana
Kwa saa hiyo Aziz anawaza kuondoka dirisha dogo, amechoka na gubu.