Nimeambiwa nisifanye mapenzi

Nimefundwa
Wachaga mnafundika kweli maana wababe kwenye mambo yetu..! Ila ukimpatia utasikia sauti za ajabu.

Niliwahi piga mmoja akawa anaongea kichagga mwenzie sielewi[emoji15] [emoji15] [emoji15] mara shimbonyi..!
 
Mjamzito anaruhusiwa kufanya mapenzi muda wote hadi siku ya kujifungua mradi tu asiwe na tatizo la kiafya.
 
Hakutakua na madhara?
Maswali yako yote yanayohusiana na ujauzito wa mkeo na huo ushauri uliopewa na daktari ulipaswa umuulize daktari, ni haki yako kujua na ni wajibu wa daktari kukuelimisha. Bado hujachelewa, rudi kwa daktari ukaongee nae. Utakapo elewa sababu unaweza ukawa more willing na tolerant ku abstain from sex kwa hiyo miezi minne.
 
Nashukuru kwabushauri
 
Ndo maana wife anaenda kwa gyno wa kike, kuna madaktari wa kiume wanapima njia kuanzia mama anapoanza kliniki mpaka siku ya mwisho.

Ukifika tu, tupime njia!
 
Ndo maana wife anaenda kwa gyno wa kike, kuna madaktari wa kiume wanapima njia kuanzia mama anapoanza kliniki mpaka siku ya mwisho.

Ukifika tu, tupime njia!
Wanapimaje
 
Wachaga mnafundika kweli maana wababe kwenye mambo yetu..! Ila ukimpatia utasikia sauti za ajabu.

Niliwahi piga mmoja akawa anaongea kichagga mwenzie sielewi[emoji15] [emoji15] [emoji15] mara shimbonyi..!
Ha ha we unataka mambo au Sauti?
 
Piga mambo ww mpaka aite gari la fire [emoji91] [emoji602] doctoR mpiga dili huyo………
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…