Hapo ndio hua watu wanahoji ukubwa wa Simba upo wapi?Hiyo Mamelod ina mataji mangapi ya CAFCL kama waarabu ni wazee?
Wanachuakuaje kombe wazee mbele ya vijana?
You have a poor argument
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mimi naona mfumo wa 10-0-0 ndio wenyewe hasa, ukizingatia tuna goli moja tayari.Au hata mfumo wa 8 - 1 - 1 utatufaa sana
Kumbe hizi mechi ni za last season, wengi wetu hatukujua kabla.
Naona maumiv ya april 16 bado yapo kichwaniSisi tulale, tupo imara hadi mgongwe morocco
Tulicheza semi 1974, hatutaki utopolo hapa. Heshima kwanza!Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?
Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.
Cc: SAGAI GALGANO
Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?
Mkuu hao WYDAD huo mfumo hawaufahamu au sio?Kabisaa na makocha wapange huu mfumo, 4-1-4-1
Yaan hapo waachezaji wakiwa na ari na morari mbna tunapitaa,
Kikubwa tuwe waangalifu kuepuka kona na fouls zisizo na mpango, yaan wachezaji wajue kuipambania team.
[emoji881] nguvu 1
Hallah [emoji3590][emoji833]
[emoji120][emoji120]
Kaka tz Kuna timu inayoabudu uchawi kama Simba?? Kutoka mbezi hadi temeke kinyumenyume ni uchawi bado ukaunguza uwanja wa watu ugenini na ukapigwa ya mbavuNami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?
Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.
Cc: SAGAI GALGANO
Makolo yalikuwa yamelala piaBola tujadili saiv yatakuwa yamelala
Usifananishe Waydad na vitu vya kijinga..!! Waydad anafungwaga ugenini halafu kwao anakutia nusu kaputi na kukutwanga kuanzia 4 kwenda mbeleHuyo jini mwambieni akafie mbele huko manina,hapo kwenye 4 1 41 ndo penyewe hapo,huo mfumo unaweza ukachanganyikiwa ukicheza nao,alipigika sana horoya na huo mfumo asee..[emoji109]
Mfumo huo mzuri ila inahitaji pumzi ya maana maana kuruhusu counter attack ni rahisi zaidi. Ushauri wangu timu ijaze viungo kwaajili ya kuharibu movement za adui. Lakini pia kama kocha ataona inafaa Mzamiru, Kibu D na Putin kanute wacheze nyuma kidogo kuwasaidia mabeki huku wakifanya mashambulizi ya kushitukiza nasema hivyo ili mipira yote inapigwa na mabeki wakitingwa iokolewe haraka.Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?
Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.
Cc: SAGAI GALGANO
Sahihi kabisaMbinu nzuri ya kuzuia kufungwa ni kumiliki na kucheza mpira
Ni mfumo mzur sana sanaaa.....wajuzi tusaidiane Kwa hii Simba yetu hatuwezi kucheza Kwa kuwakamia Hawa raja yaani tucheze man to man....Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals?
Karibuni wana Simba SC Wenzangu wote hapa JamiiForums tulijadili hili Kiufundi na tafadhali kama unajijua Wewe ni Shabiki wa Mganga Kasema Jini linataka Damu za Wanachama Wetu 500 Tu Ili Tushinde kwa Kishindo Jumapili FC usipoteze muda wako Kuchangia au Kushauri chochote kile kwani tunawajua kwa Unafiki Wenu na Kamwe hamtutakii mema.
Cc: SAGAI GALGANO
Mkuu huwa unanifurahishaga sana comments zako, eti wooote mizigo[emoji3]Coach nimemshauri kutumia Mfumo wa.
3: 4: 2. :1
MABEKI 3 wa kati.3
KENEDY.
Inonga.
Onyango
Wingback na Viungo. 4
Kapombe.
Shabalala.
MZAMIRU.
Kanute.
No Viungo wa juu. 2.
KIBU
Chama.
Mshambuliaji. 1
Baleke.
N:B. Nilitamani tuangalie pia vimo vya wachezaji warefu wangekuwa na msaada mzuri.
Sawadogo, Ottara, Boko
Lakini woote ni Mizigo.