Nimeambukizwa magonjwa ya zinaa na mpenzi wangu wa chuo kikuu (nisaidieni cha kufanya)


Itabidi umwambie ili wote wawili mpate tiba...then kitakachofuata ni juu yako!
 

umeniibia wazo langu. pamoja mkuu
 

Acha kujumlisha tabia za watu na chuo wewe....

Yaani eti umwambie walivyo unachanganya tabia na chuo.....

Shindwa katika jina la Yesu..............
 
Pole sana usitahamaki, nakumbuka kuna mdada nilimsimamia harusi alipata case kama hiyo mumewe alikasirika akawa tayari kumuacha kabisa sababu alikuwa anajiamini hajatembea na mwanamke mwingine zaidi ya mkewe,wakaenda hsptl kupima mkewe akawa hana kabisa ugonjwa kama mjuavyo mwanaume akipata maambukizi asubuho after some few hrs inajitokeza

baada ya kufanya uchunguzi sana wakagundua kumbe mumewe alijisaidia choo cha kukaa ofisini na sio yeye peke yake kapata bali kuna wababa wengine wawili....ndio kesi ikapoa yaani unaweza pata kwenye public toilet na yeye pia anaweza pata huko chuoni msaidie kwa kumwambia mwende hsptl akatibiwe
 
Hayo ni baadhi ya matokeo ya ngono zembebado na kubwa zaid linakunyemelea nenda mapema kapime hiv km vp anza dozi
 
Wakati mdada amechanganya viuno hadi unasimamia kucha ulikuwa unasikia raha hadi ukavua Condom ukiamini ndizi hailiwi na maganda.,sasa umekwaa gonjwa la zinaa badala ya kwenda hospitali unakuja kuomba ushauri ufanyaje.,unategemea sisi tukwambieje zaidi ya kwenda hospitali kuokoa vikojoleo vyenu.
 
Wakati unamtongoza au mnatongozana mbona hukutuomba ushauri? Je iwapo asingekuambukiza magonjwa ungetujulisha vile vile? Jaribuni kuwa mnatatua matatizo mengine peke yenu.
 
You thought that the grass was greener, on the other side you made your bed now lay on it. Remember to see your Doctor.
 
nenda naye hospitali mkapime kwanza..
 

Haya we serengeti jicho lako na lione hapa!
 
Eti nini? Unauliza? Unayeumwa katibiwe. Nakushangaa! Na unajuaje kakuambukiza yeye. Mwanaume mwanakharamu wewe! Acha kusingizia mtoto wa watu, magonjwa umuambukize halafu na shutuma juu! Hata aibu huna. Loh!
 
Mwambie na muende wote kwa daktari na mfanye vipimo vyote hadi hiv ili mpate ushauri hata kama ni ule wa kuishi kwa matumaini.
Na huko chuo ulienda kusoma au kufanya ngono tena ngono zembe?
Jamani jamni hii ni 'network'!!! Sasa na huyo demu si naye akamchukue mwenzake aliyemletea hayo madudu naye akapimwe?!
 
Mwambie na muende wote kwa daktari na mfanye vipimo vyote hadi hiv ili mpate ushauri hata kama ni ule wa kuishi kwa matumaini.
Na huko chuo ulienda kusoma au kufanya ngono tena ngono zembe?
si unajua tena ujana maji ya moto? vp mpenzi?
 
<br />
<br />
mwambie kisha nenden wote hospitali.
 
una uhakika ndiye au unaamin? nahisi nawe una kajamaa kengine. ila ka umepewa zinaa jiandae na ugonjwa mkubwa
 
Ikugonge na ngoma kabisa,kila siku mnahubiriwa juu ya ngono zembe mitaan,uzinzi makanisani lakini bado hamsikii,sasa unataka nini,hukumu hicho kiungo chako kilichokusababishia hayo yote,kikate kabisa utakuwa umetatua tatizo na haitakaa ijitokeze tena hiyo ni full prevention method.
 
Mchukuane wewe na mwenzako mwende hospital mkapime magonjwa yote ya zinaa.
 
Mwambie na muende wote kwa daktari na mfanye vipimo vyote hadi hiv ili mpate ushauri hata kama ni ule wa kuishi kwa matumaini.
Na huko chuo ulienda kusoma au kufanya ngono tena ngono zembe?
Ushauri mgumu ambao hauzoeleki ni huu wa kuishi kwa matumaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…