Nimeambukizwa na mimi nahisi nimemuambukiza roomate wangu

Nimeambukizwa na mimi nahisi nimemuambukiza roomate wangu

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Kuna ugonjwa flani wa macho nimeupata.Sijui unaitwaje lakin ni kwamba macho yanauma sana na yamekuwa mekundu pia yamevimba.Cha ajabu baada ya siku 2 na rafik yangu nae kaupata.Tulipowauliza watu wanadai eti unaambukiza kwa njia ya kuangaliana.Je ni kweli? Na hapa hostel mabibo wengi naona wanaumwa pia.Je nini dawa yake?
 
Pole sana ! muone daktar huwa unaenea kwa kas sana.
 
Yaani nahisi nitaupata muda si mulefu kwani jamaa tupo chumba kimoja na anao..
 
Yaani nahisi nitaupata muda si mulefu kwani jamaa tupo chumba kimoja na anao..

hiyo ni red eye, ni viral infection inayofuatiwa na bacterial superinfection. Inaambukizwa thru contact na mtu mwenye ugonjwa huo, vitasa, kushea vyombo. Dalili ni macho kuvimba,kutoa machozi,kuuma,kuwasha..kuwa mekundu na kuogopa mwanga. Nawa uso kwa sabuni na mikono. Usipeleke mikono yako usoni kama umeshikana na mtu mwenye huo ugonjwa bila kunawa kwa sabuni. Ni self limiting ila ukihisi kama matongotongo yamezidi muone daktari ili utibiwe. Nakumbuka enzi naishi mabibo uliwahi tokea na uliathiri wapenzi zaidi.. Stay SAFE.
 
Kuna ugonjwa flani wa macho nimeupata.Sijui unaitwaje lakin ni kwamba macho yanauma sana na yamekuwa mekundu pia yamevimba.Cha ajabu baada ya siku 2 na rafik yangu nae kaupata.Tulipowauliza watu wanadai eti unaambukiza kwa njia ya kuangaliana.Je ni kweli? Na hapa hostel mabibo wengi naona wanaumwa pia.Je nini dawa yake?

ni ugonjwa msimu na upo sana ukanda wa pwani,inasemekana hauna dawa ila wazee wa pwana hushuri kunawa maji ya bahari au maji ya uvuguvugu yenye chumvi kwa bali pia kuweka uso safi kwa kunawa mara kwa mara.ugonjwa huu noma watu hurebua sana hasa mabinti
 
Kuna ugonjwa flani wa macho nimeupata.Sijui unaitwaje lakin ni kwamba macho yanauma sana na yamekuwa mekundu pia yamevimba.Cha ajabu baada ya siku 2 na rafik yangu nae kaupata.Tulipowauliza watu wanadai eti unaambukiza kwa njia ya kuangaliana.Je ni kweli? Na hapa hostel mabibo wengi naona wanaumwa pia.Je nini dawa yake?

ni ugonjwa msimu na upo sana ukanda wa pwani,inasemekana hauna dawa ila wazee wa pwani hushuri kunawa maji ya bahari au maji ya uvuguvugu yenye chumvi kwa mbali pia kuweka uso safi kwa kunawa mara kwa mara.ugonjwa huu noma watu hurebua sana hasa mabinti
 
Roommates wote wameumwa ila nashangaa mpaka leo haujanikuta. Najitahidi kunawa na maji ya moto, kuoga na maji ya moto, kunawa uso na sabuni mara kwa mara, naepuka contacts na wagonjwa. Pia naona kama unaangalia na damu ya mtu.
 
Back
Top Bottom