Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Mambo mawili niliyo amini baada ya taarifa ya utumbuzi wa Nape Nnauye na wengine ni
1. CCM itaendelea kuitawala hii nchi miaka tele ijayo.
2. Yanga itaendelea kutawala soka la hii nchi
Kwanini?
Watu wamesahau kuwa uteuzi na utenguzi ni maigizo ya CCM miongo na miongo, Nape huyu na January huyu, waliteuliwa awamu iliyopita na kutumbuliwa na watu wakashangilia sana.
Awamu hii wakateuliwa na January akashindwa waziwazi kutatua changamoto za wizara ya nishati, akahamishwa, watu wakashangilia sana.
Juzi nape kazungumza hadharani ile tabia yao ya wizi wa kura, jana ametumbuliwa watu wameshangilia sana.
Hivi karibuni Luhaga Mpina atateuliwa kuchukua nafasi ya Bashe, watu watashangilia sana.
CCM ni ile ile, oooh ni ile ileee x2
1. CCM itaendelea kuitawala hii nchi miaka tele ijayo.
2. Yanga itaendelea kutawala soka la hii nchi
Kwanini?
Watu wamesahau kuwa uteuzi na utenguzi ni maigizo ya CCM miongo na miongo, Nape huyu na January huyu, waliteuliwa awamu iliyopita na kutumbuliwa na watu wakashangilia sana.
Awamu hii wakateuliwa na January akashindwa waziwazi kutatua changamoto za wizara ya nishati, akahamishwa, watu wakashangilia sana.
Juzi nape kazungumza hadharani ile tabia yao ya wizi wa kura, jana ametumbuliwa watu wameshangilia sana.
Hivi karibuni Luhaga Mpina atateuliwa kuchukua nafasi ya Bashe, watu watashangilia sana.
CCM ni ile ile, oooh ni ile ileee x2