3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Kama Yanga ni bora yuko kundi gani CAF CL?... Acha ulopo Yanga aliyepigwa nje-ndani na GOR MAHIA au yupi?
Mtuachie timu yetu,. Nyie mnaojua kushinda ugenini mko hatua ipi?
1998 Mlimaliza na point 2. leo unasema bora yanga kweli?
Mbuzi kabisa akili zenu.
Mtuachie timu yetu,. Nyie mnaojua kushinda ugenini mko hatua ipi?
1998 Mlimaliza na point 2. leo unasema bora yanga kweli?
Mbuzi kabisa akili zenu.