Nimeamini kuwa Waziri January Makamba hagusiki, huyo ni mtoto pendwa ndani ya mfumo wa Serikali

Nimeamini kuwa Waziri January Makamba hagusiki, huyo ni mtoto pendwa ndani ya mfumo wa Serikali

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Waziri anazungumzia nishati safi huku akijuwa pamoja na kutoa hiyo mitungi yake ya gesi ajue kuwa itageuzwa kuwa viti vya kukalia kwani gesi haikamatiki bei ipo juu.

Kama asingekuwa anadanganya umma katika utekekezaji wa suala hili basi angewashawishi wafanyabiashara wapunguze bei ya gesi ili watu waweze kutumia gesi hiyo lakini nachokiona anahamasisha watu watumie nishat safi ya gesi ni kama anejitoa ufahamu kuwa gesi ni gharama kubwa kwa watumiaji! wafanyabiashara wanaokutuma waambie wapunguze bei ya gesi ili kila mtu aweze kutumia.

Mfano kama gesi itauzwa kwa mtungi mdogo tsh 5000-9000)= binafsi watu wengi wataachana na mkaa sasa kama itauzwa tsh 32,000/= juwa tatizo lipo palepale.

Kwa sasa umeme umekuwa shida nchi nzima visingizio vya kupungua kina cha maji tayari vimeshaanza wananchi tunaisoma namba tunaotegemea umeme katika biadhara zetu.

Mtoto pendwa tuko pamoja na wewe lakini hakuna ulichofanya ukafanikiwa zaidi ya porojo.
 
Huyu badala ya kuondoa tozo na kushawishi wafanyabiashara kupunguza bei ya gesi ili wakazi wa mijini waachane na matumizi makubwa ya mkaa, yeye anaenda kugawa mitungi kijijini.........hiiiii unaweza kujikuta kichekesho....
 
Waziri anazungumzia nishati safi huku akijuwa pamoja na kutoa hiyo mitungi yake ya gesi ajue kuwa itageuzwa kuwa viti vya kukalia kwani gesi haikamatiki bei ipo juu.

Kama asingekuwa anadanganya umma katika utekekezaji wa suala hili basi angewashawishi wafanyabiashara wapunguze bei ya gesi ili watu waweze kutumia....
Hili Professor Tibaijuka amelizungumzia siku ile ile aliwachana pale pale

Tena sio 32,000/ alilenga 28,000/- akasema ishuke chini ya 24,000/- hapo ndipo wananchi watakua wamesaidiwa angalau kinyume na hapo ni sawa na kujilisha upepo tu
 
Kama alivyokuwa Makonda mtoto pendwa enzi za shetani wa Chato
Yule alikuwa anakingiwa kifua na Jiwe mwenyewe na ndiyo maana Jiwe mwenyewe alipomchoka akamwaga ila January inaonekana hata Samia mwenyewe hawezi kumgusa.
 
Urais 2025 utamfanya Januari atahiriwe bila ganzi.

Hivi Januari ndio kapandisha bei ya gesi?!
 
17/03/2021 baba yenu alilamba mchanga/aling'ata shuka. Nyie ni watoto yatima acheni mdomo.
Hata sijui unaongea nini? Kwani kuna siku huyo Magufuli alisema hatokufa? Wamekufa manabii huko tena kwa kuuliwa sasa kipi cha ajabu hapo kwa Magufuli kufariki?

Sawa tufanye mie ni mtoto wa kambo kwa sababu kafa baba yangu Magufuli ndio maana sasa hivi napata shida ya maji umeme chakula bei n.k na silambi asali kama nyie ambao mama yenu yupo hai shida zote zimewaondoka.

Ok umefurahi?
 
Huyu badala ya kuondoa tozo na kushawishi wafanyabiashara kupunguza bei ya gesi ili wakazi wa mijini waachane na matumizi makubwa ya mkaa, yeye anaenda kugawa mitungi kijijini.........hiiiii unaweza kujikuta kichekesho....
Mnaosema January "ashawishi" wafanyabiashara wa gas mna maana gani? Kwamba wao wanapata hiyo gas kwa bei ndogo sana ila wanauza kwa bei ya juu sana? Kama ingekuwa ni suala la "kushawishi" tu basi aanze na TANESCO "aishawishi" ipunguze bei ya umeme na mawaziri wengine wote "washawishi" wafanyabiashara walio chini ya sekta zao wapunguze bei ili maisha ya Watanzania yawe mepesiiiiii!!!!
 
Mnaosema January "ashawishi" wafanyabiashara wa gas mna maana gani? Kwamba wao wanapata hiyo gas kwa bei ndogo sana ila wanauza kwa bei ya juu sana? Kama ingekuwa ni suala la "kushawishi" tu basi aanze na TANESCO "aishawishi" ipunguze bei ya umeme na mawaziri wengine wote "washawishi" wafanyabiashara walio chini ya sekta zao wapunguze bei ili maisha ya Watanzania yawe mepesiiiiii!!!!
Kwa hiyo suluhu ni kufanya igizo la kupeleka mitungi kijijini...
 
Waziri anazungumzia nishati safi huku akijuwa pamoja na kutoa hiyo mitungi yake ya gesi ajue kuwa itageuzwa kuwa viti vya kukalia kwani gesi haikamatiki bei ipo juu.
Naam au hio mitungi tutaweka rehani kwenye vikoba tupate pesa ya kununulia mkaa
Kama asingekuwa anadanganya umma katika utekekezaji wa suala hili basi angewashawishi wafanyabiashara wapunguze bei ya gesi ili watu waweze kutumia gesi hiyo lakini nachokiona anahamasisha watu watumie nishat safi ya gesi ni kama anejitoa ufahamu kuwa gesi ni gharama kubwa kwa watumiaji! wafanyabiashara wanaokutuma waambie wapunguze bei ya gesi ili kila mtu aweze kutumia.
Gesi LPG sio yetu tunainunua kutoka huko ughaibuni ni mabaki ya mafuta hivyo hata kupunguza tunaweza tukapunguza mpaka kiasi fulani...
Mfano kama gesi itauzwa kwa mtungi mdogo tsh 5000-9000)= binafsi watu wengi wataachana na mkaa sasa kama itauzwa tsh 32,000/= juwa tatizo lipo palepale.
Suluhisho ni either gasi asilia ipwe piped mpaka majumbani kwa watu ambayo infrastructure ni gharama sana na sina uhakika kama hii gesi bado ya kwetu au ndio tunawanufaisha wengine
Kwa sasa umeme umekuwa shida nchi nzima visingizio vya kupungua kina cha maji tayari vimeshaanza wananchi tunaisoma namba tunaotegemea umeme katika biadhara zetu.

Mtoto pendwa tuko pamoja na wewe lakini hakuna ulichofanya ukafanikiwa zaidi ya porojo.
suluhisho ninaloliona mimi ni kufanya umeme uwe bei nafuu na watu tutumie umeme kupikia, umeme huo utakuwa safi sababu utatokana na nishati ya Hydro kule Bwawa la Nyerere

 
Back
Top Bottom