X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
haya mkuu, nawewe upo pamoja na mimi kiimani kuwa majibu huwa yanatolewa na Mungu...?Be the first to reply.
asante kwa kujazia mada mpenzi wa mimi...hujambo lakiniKweli Mungu anajibu ukimuomba ata kama atachelewa
aise kweli MUngu si Athumani....kaombewa jina jipya kabla hata mwaka aujafika nusu jibu limepatikana...Hahahahahahahaha unabii umetimia
vyote viwili maana sizani kama christo anaye muabudu ndiye huyo aliyemtuma au anayependa watu wadanganye....Mmh Daudi huyu ana siri za kristo au Magufuri...!?
sijambo eddy za wwasante kwa kujazia mada mpenzi wa mimi...hujambo lakini
nzuri namshukuru Mungu wetu...vipi...ndo unafuturu nini...sijambo eddy za ww
nimeshamaliza eddynzuri namshukuru Mungu wetu...vipi...ndo unafuturu nini...
Hii haina tofauti na ile ya kusema Mungu huwalisha Ndege ambao HAWALIMI,
ama kweli Mungu yupo na huwa anajibu maombi ebu angali hiyo picha uone maombi aliyoombewa Paul C. Makonda. maombi hayo aliombewa na Christina Shusho kuwa ndani ya mwaka huu Paul C. Makonda atapata jina jipya na kweli maombi yamejibiwa si amePata jina jipya? ama si lake hili la DAUDI ALBERT BASHITE?
amemjibu kwa kweli...Mungu amemjibu Shusho.
amejipatia umaharufu sana....aiseeKwel amejibu, amempa jina kubwa sana kupitia kijana wake GWAJIMA
msg yako ni ndogo lakini ujumbe wake ni mzito sana nduguHii haina tofauti na ile ya kusema Mungu huwalisha Ndege ambao HAWALIMI,
WAKATI HUOHUO TUNALALAMIKA KUA NDEGE WANAKULA MAZAO YETU TULIOPANDA SHAMBANI.
jana nilikimbia...ila ata kunialika....tule wote...au hapo story tuuu....nimeshamaliza eddy