Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Geza, hivi Invi' akiifutilia mbali hii thread, utalalamika?.Kwa jinsi mambo yalivyoenda leo mchana huu naona kigagula Yahaya si muchezo jamaa kidogo achungulie Jehanamu ameishia lango la kuzimu! Ama kweli ushirikina hauna maana kama Sheikh Yahaya angesema Mkulu akigombea atakufa nina uhakika Usalama wa Taifa wangekula nae sahani moja kwa kutishia kifo au uhaini lakini wamesemwa wabaya wake Mkulu akakenua meno sasa naona Sheikh Yahaya kalikoroga na limemrudia Mkulu mwenyewe! Ohooo jamani tuwe macho ndo safari hiyo kwa mkulu! utabiri uko njiani na utatimia chondechonde Sheikh Yahaya anamtoa kafara Mkulu!!!
we tulia ushirikina hulipwa kwa ushirikina Mkulu ashabemendwa kilichobaki wamcheki akili kama yuko fit to ruleGeza, hivi Invi' akiifutilia mbali hii thread, utalalamika?.
Najua kuna jokes na jokes, lakini hizi nyingine zinakwenda kwenye the extreme!.
mtumishi, unaweza kumtoa mapepo Mkulu weye?du tutasikia mengi
MMMHHH jamani
Yanayomsumbua Mkulu ni mapepo aliyoyabeba kwenye pete zake anazovaa. Wampeleke kwa Kakobe akamwombee yamtoke kisha aongozwe sala ya toba aokoke, vinginevyo hayo mapepo yatamuua maana kila akienda Bwaga anaongezewa mapepo yenye nguvu kibwa zaidi kuliko ya kwanza!
Yanayomsumbua Mkulu ni mapepo aliyoyabeba kwenye pete zake anazovaa. Wampeleke kwa Kakobe akamwombee yamtoke kisha aongozwe sala ya toba aokoke, vinginevyo hayo mapepo yatamuua maana kila akienda Bwaga anaongezewa mapepo yenye nguvu kibwa zaidi kuliko ya kwanza!