Nimeamini Teknolojia yoyote ikiwa imeendelea sana na ikakosekana njia rahisi ya kuilezea jinsi ifanyavyo kazi kwa mtazamaji haina tofauti na uchawi

Nimeamini Teknolojia yoyote ikiwa imeendelea sana na ikakosekana njia rahisi ya kuilezea jinsi ifanyavyo kazi kwa mtazamaji haina tofauti na uchawi

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Utasikia wabongo vijiweni "Mzungu Mchawi sana", hii kauli sio kwamba limepatikana tunguli la Muingereza au Mjerumani la hasha bali vifaa vya kila siku vya kielektroniki; hivi.

Kuna anayetambua kuwa hizi simu tunazotumia kuingia JamiiForums zimetengenezwa kwa kutumia mchanga, yaani motherboard pamoja na viambatanishi vyake vingi ni silicone (ambayo ikiungana na oksijeni inatengeneza mchanga)

Silicone hiyo hiyo imetumika kutengeneza vioo na material nyingine kadha wa kadha
 
Silicone inatokana na silicate na silicate inatokana na mchanga uliochujwq na kusafishwa vizuri kisha ukachomwa kwenye boiler la nyuzi joto 1000+ na kuyeyuka na kuwa ujiuji
Ujiuji huo ukichanganywa na chemikali nyingine unapata sabuni ya unga, vioo nknk
 
Silicone inatokana na silicate na silicate inatokana na mchanga uliochujwq na kusafishwa vizuri kisha ukachomwa kwenye boiler la nyuzi joto 1000+ na kuyeyuka na kuwa ujiuji
Ujiuji huo ukichanganywa na chemikali nyingine unapata sabuni ya unga, vioo nknk
Kuelezea kwa mdomo ni rahisi! Eti siliconi ni mchanga? Bei ya siliconi per kilogram ni $427 sawa na zaidi ya Tsh 1,000,000/=. Haya chota mchanga kwako nenda kauuze!
 
Kuelezea kwa mdomo ni rahisi! Eti siliconi ni mchanga? Bei ya siliconi per kilogram ni $427 sawa na zaidi ya Tsh 1,000,000/=. Haya chota mchanga kwako nenda kauuze!
Sasa si purified mkuu na milolongo mingine , we unadhani ukiingia mchuchuma na liganga utaokota tu vipande vya chuma uanze kutengeneza misumari
 
Hivi Tanzania haina rare earth metals maana naona China inapiga sana pesa ndefu kwa kuwauzia USA na Europe japo purification zake ni gharama sana
 
Sasa si purified mkuu na milolongo mingine , we unadhani ukiingia mchuchuma na liganga utaokota tu vipande vya chuma uanze kutengeneza misumari
Mchanga hupi! Silicon (ni element kwenye periodic table na ina symbol 'Si' yenye atomic number 14 na atomic mass 28).
Baadhi ya tabia za silicon ni:

  • Silicon is a nonmetallic element that is a semiconductor.

  • It is a hard, brittle crystalline solid with a blue-gray metallic luster.

  • Silicon is the second most abundant element in Earth's crust, after oxygen.

  • It is a major component of rocks and sands.

  • Silicon is used in metallurgy as a deoxidizing scavenger.

  • It is also added to steels and electric sheets.

Kama element nyingine zote zinakuwa zimechanganyikana na udongo/mchanga na ni lazima zipitie mchakato wa kuzisafisha! Sasa utaitaje silicon eti ni mchanga?
 
Kuelezea kwa mdomo ni rahisi! Eti siliconi ni mchanga? Bei ya siliconi per kilogram ni $427 sawa na zaidi ya Tsh 1,000,000/=. Haya chota mchanga kwako nenda kauuze!
Uyo kila kitu anajua shauri yako.
 
Kuelezea kwa mdomo ni rahisi! Eti siliconi ni mchanga? Bei ya siliconi per kilogram ni $427 sawa na zaidi ya Tsh 1,000,000/=. Haya chota mchanga kwako nenda kauuze!
Soma maelezo vizuri nimesema SILICONE inatokana na SILICATE.... Nimefanya kazi ya kuzalisha silicate huko Pwani kwa miaka minne kwa kutumia mchanga mweupe unaopatikana mainly Misugusugu kwa ajili ya Kiwanda cha sabuni ya unga
Sasa hivi mchanga umekuwa haba na ni gharama kwakuwa ili upate pure sand kwenye tani moja unapata nusu
Sasa hivi wanasaga white quartz stone ya kwa ajili ya kupata white powder ya kuchoma upate silikate
Kuna mradi mwingine in future wa kutumia magadi for the same purpose na jicho liko Arusha.. Usiwe mtu wa kubisha sana
 
Back
Top Bottom