Nimeamini urafiki wa kinafiki upo

Nimeamini urafiki wa kinafiki upo

DeMostAdmired

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
1,579
Reaction score
3,798
Hello how are you!

Kama nilivowagusia kwenye uzi wangu ulopota.

Baada ya kupata mishe mkoa wa Tanga nilifanikiwa kukutana na kufahamiana na watu wengi wafanya biashara hasa hasa.

Miongoni mwa watu nilofahamiana nao kuna watu wa3 ambao nilikuwa nao na nipo nao closer kuliko wengine. Hawa jamaa wa3 ni wafanya biashara wazuri tu na wanafanya vizur kwenye game.

Kati ya hawa wa3, wa2 naishi nao vizur na wao real na honest sana kwangu kwasababu naona tunashirikiana vizur kwenye biashara kwasababu mimi nilianza kwenye wholesale pekeake nawauzia wao. Waliniookea vizuri sana na niliishi nao vizur tu.

Sasa hawa wa 2 hawana ishu wapo poa na tunafanya kazi kama kawaida ila huyu mmoja nimuite Yuda kwenye huu uzi. Yuda bhana kama jina lake linavosomeka ni Yuda iskariote haswa.

Nilipofika na kuanza kufanya kazi mambo yalikuwa sawa kwa wote lakini kadri siku zilivokuwa zinazid kwenda nilikuwa naona kama Yuda anaanza kuonesha kinyongo kiasi akaanza kuagiza mali dar anaacha kuchukua kwangu sometimes ananunua kwangu.

Tuliishi hivohivo kibishi lakin nilikuwa natumia mbinu tofauti tofaut ili kuhakikisha wateja wangu wanachukua bidhaa kwangu na hawaagizi dar na wakienda au kuagiza dar bas wafungashe vingine ambavyo mimi siuzi.

Nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa na wakawa wanachukua sana kwangu. Baada ya kama miez sita hivi nikaingiwa na wazo la kutafuta frem ili namm nifungue retail store ndogo tu.

Sasa nilipoanza kishuhudia unafiki ni baada ya kumshirikisha Yuda hili wazo langu......

See you......
 
Tuwe na subira ameenda kuipua chips zake nusu ziungue
 

Attachments

  • FB_IMG_1721234660089_1.jpg
    FB_IMG_1721234660089_1.jpg
    168.4 KB · Views: 3
Let's go..............

Ilikuwa mwaka jana mwezi wa 8 nilipopata wazo hilo nikaona inafaa bas nikaona so shida nimshirikishe Yuda.

Nilishangaa baada ya kumwambia tu kwamba nimepata wazo la kutafuta frem ya retail jamaa akastuka tulikuwa dukani kwake tumekaa nikaona mwamba akauliza kwa kuhamaki kama mtu ambaye hakuskia vzr jambo aloambiwa vile.

Jamaa akauliza umesema?? Nikamuliza mbona umestuka hvo? Jamaa akavunga, mimi nilirudia tena yale maelezo. Jamaa akacheka kwa dharau akanambia "unadhani kufungua duka ni kama kunywa maji" sio rahisi wewe endelea na kazi yako tu achana na hilo wazo.

Asee to be honest ilinikata sana ile issue, mm nilimfata yule jamaa kwasababu niliona ni mjanja kuliko wale wengine na machimbo mengi ya dar anayajua lakini pia anambinu nyingi za kuwawin wateja ukizingatia hata kwenye mauzo na kufungasha anawazidi wale wa2 wengine.

Jamaa niliona ni bora nimfate yeye kwasababu huwa tunapata time ya kuzungumza na kushauriana vitu.
Tulikuwa tunashirikiana katika kudizaini visibility ya maduka yake.

Jamaa anawadogo zake wa2 plus yeye pia walikuwa na tabia chafu sana kwahyo kwa kadri nilivoweza niliwashauri na kiwabadilisha na wakawa wanabadilika slowly mpka wakafanikiwa atleast kuwa watu wa maana.

Kuna kipindi waliweka tangazo wakaambatanisha na mziki wa Dayoo ule huu mwaka mtaniita boss, mimi kiukweli niliona siyo sahihi kuwaambia wateja ambao ndo maboss wako kwamba huu mwaka watake wasitake watakuita Boss kibiashara niliona haiko sawa tangazo kuliambatanisha na ule wimbo nimfata jamaa nikamwambia. Jamaa akapanic akanitolea maneno mazito, akaniita mimi snitch kifupi aliona kma vile kapatia sana hundred percent kuweka ule wimbo kwenye tangazo. Jamaa nikamuonba fair tu nikamuonba msamaha anisamehe kama anaona nimemkosea. Mimi nikakaa kimya.

Baada ya kama siku tatu hivi wateja wakapita pale karibu na duka lake walikuwa wanapiga njiani jamaa huwa wanatabia ya kuwakaribisha wateja yani kifosi vile.
Wateja wakalopoka "yani unatuamrisha tukuite Boss hafu unategemea tuje tukuungishe" mimi nilikuepo lakin kulikuwa na makelele ya mziki na matangazo, nilisikia walichoongea lakini nikavunga kama vile skuskia.

Jamaa akapanik na huwa hatak kushindwa akawafokea wateja akamwambia sepeni ntauzia wengine, yote niliskia lakin nikajifanya sjaskia.
Walikuwa na tabia ya kuwatongoza hovyo wateja hasa wanachuo, nikawambiateja hatongozwi mtapoteza wateja wengi sana, mwanzo waliniona fala baadae wakapruv wenyewe kwamba ni kweli mteja hatongozwi kwasababu kuna mambo walipitia yaliwaharibia reputation wakakumbuka maneno yangu na waka apologize kwamba ni kweli walikuwa wanakosea.

Sasa baada ya lile tukio la wale wateja kumchana msela kwamba anawaamrisha wamuite Boss huu mwaka, na kumchana kwamba hawawez kumuungisha jamaa alipoa sana na nashukuru alidhania kwamba sikusikia kumbe nilikuwa nimesikia yote na nilishuhudia kwa macho na maskio yangu.

Tutaendelea.........
 
Hello how are you!

Kama nilivowagusia kwenye uzi wangu ulopota.

Baada ya kupata mishe mkoa wa Tanga nilifanikiwa kukutana na kufahamiana na watu wengi wafanya biashara hasa hasa.

Miongoni mwa watu nilofahamiana nao kuna watu wa3 ambao nilikuwa nao na nipo nao closer kuliko wengine. Hawa jamaa wa3 ni wafanya biashara wazuri tu na wanafanya vizur kwenye game.

Kati ya hawa wa3, wa2 naishi nao vizur na wao real na honest sana kwangu kwasababu naona tunashirikiana vizur kwenye biashara kwasababu mimi nilianza kwenye wholesale pekeake nawauzia wao. Waliniookea vizuri sana na niliishi nao vizur tu.

Sasa hawa wa 2 hawana ishu wapo poa na tunafanya kazi kama kawaida ila huyu mmoja nimuite Yuda kwenye huu uzi. Yuda bhana kama jina lake linavosomeka ni Yuda iskariote haswa.

Nilipofika na kuanza kufanya kazi mambo yalikuwa sawa kwa wote lakini kadri siku zilivokuwa zinazid kwenda nilikuwa naona kama Yuda anaanza kuonesha kinyongo kiasi akaanza kuagiza mali dar anaacha kuchukua kwangu sometimes ananunua kwangu.

Tuliishi hivohivo kibishi lakin nilikuwa natumia mbinu tofauti tofaut ili kuhakikisha wateja wangu wanachukua bidhaa kwangu na hawaagizi dar na wakienda au kuagiza dar bas wafungashe vingine ambavyo mimi siuzi.

Nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa na wakawa wanachukua sana kwangu. Baada ya kama miez sita hivi nikaingiwa na wazo la kutafuta frem ili namm nifungue retail store ndogo tu.

Sasa nilipoanza kishuhudia unafiki ni baada ya kumshirikisha Yuda hili wazo langu......

See you......
Yule mwalimu umemuoa? Ulituahidi Julai
 
Jitahidi uwe smart kuanzia
Kuongea
Kuandika
Kuishi na watu
Kazini (katika biashara yako)

Upo hatua nzuri Ila hiyo hatua uliyopo jitahidi imbatane na HEKIMA na upende maadui zako na wapinzani wako but don't trust them and don't share anything positivity with them .
 
Jitahidi uwe smart kuanzia
Kuongea
Kuandika
Kuishi na watu
Kazini (katika biashara yako)

Upo hatua nzuri Ila hiyo hatua uliyopo jitahidi imbatane na HEKIMA na upende maadui zako na wapinzani wako but don't trust them and don't share anything positivity with them .
 
Bado stori inaendelea..., ila kimtindo nakuona kama nawewe una kaunafiki fulani ka kusaidia au kuona kuwa unafanya kazi ya kuwabadilisha jamaa zako, kwamba bila ushauri wako hawatoboi.
Kwa hiyo kusaidia watu nako siku hizi ni unafiki?
Una shida gani Mkuu?
 
Jitahidi uwe smart kuanzia
Kuongea
Kuandika
Kuishi na watu
Kazini (katika biashara yako)

Upo hatua nzuri Ila hiyo hatua uliyopo jitahidi imbatane na HEKIMA na upende maadui zako na wapinzani wako but don't trust them and don't share anything positivity with them .
Thanks
 
Back
Top Bottom