Mkuu yanaumuhimu wenyeSi umeona enheee, ebu tizama tamasha la Fiesta lina umuhimu gani kwa watanzania? Vichaa wanapandishwa dala dala kwenda mikoani kuwatoa watu wazimu. Furaha yao ni ahadi ya kuchezewa nyimbo zao redioni na wakikataa tu wanatoswa na hatimaye kupotea kuigiza nyimbo za mataifa ya watu.
Ha ha hawengine wapo humuhumu halafu wanajiita et ma great thinker! wkt wakiambiwa machizi piga kelele na yeye anapiga!πππ
It's just a joke!
Mkuu yanaumuhimu wenye
gesti wanapata mshiko,wasanii wanapata mshiko na wanajitangaza sehemu mbalili ktk nchi,wafanyabiashara wanapata mshiko nakadhalika nakadhalika
Wanapata burudani wengine huwa nastress lkn wakienda kuchek burudani kama zile hupunguza stress nakuenjoy lkn hata pia mtu unaweza kukutana na mtu ambae mlipotezana long time...Je, na hao machizi wanaokwenda kuangalia wendawazimu wanashika pumbu na kuimba vitu visivyoeleweka na kuwazomea machizi wenzao wanapata faida gani? Kumbuka, kuna wengine wanaacha kazi zao na kwenda kuzomewa.
Tobaaaa mie!!πππKwa formula hiyohiyo ingia katika baraza la mawaziri na Wasomi wa kiwango cha PhD hesabu idadi yao, gawanya kwa nne utapata idadi ya machizi katika nafasi hizo!
Ndiyo maana wanapoteaga hata vituo vya kupigia kura za Umeya wanaendaga Kinondoni badala ya Pemba au Zanzibar!
Wanapata burudani wengine huwa nastress lkn wakienda kuchek burudani kama zile hupunguza stress nakuenjoy lkn hata pia mtu unaweza kukutana na mtu ambae mlipotezana long time...
mkuu naona wewe hufeel mziki kivile lkn kwa mimi binafsi i love i love it endapo huwa si muuzuliaji wa matamasha ya mziki lkn is the part of my life...
mara hoyooooo piga kelelewatz hawatakagi ujinga[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
alafu piga keleleeeee, watu oyooooooooooooooo[emoji2] [emoji2] [emoji2]