Jamani madokta hebu mnipe ufafanuzi kuhusu hili tatizo:
Nimelala salama, usiku nikaamshwa na maumivu ya jicho kama vile limeingiliwa punje au mchanga, kujitazama limejaa tongotongo kuliko kawaida. Niliwahi kuona zamani sana kwa mtu mwingine ila sijui inasababishwa na nini.