Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
mtu aliekuwa anajichubua halafu akaacha mkorogo
mmh ngozi hadi ije kukaa sawa kazi sana
STAA mwenye umbo la kipekee katika soko la filamu Bongo, Ruth Suka Mainda amefunguka kuwa ameamua kuukacha mkorogo aliokuwa akiutumia kwa muda mrefu.
Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema ameamua kuacha kutumia mkorogo kutokana na matakwa ya dini yake, amegundua anamkosea Mungu wake kwa kujichubua
.
Nimeamua tu kuacha kujichubua, mkorogo siyo kitu kizuri hata Mungu hapendi vitu hivi ndiyo maana nikaamua kuuacha japo nimetumia kwa muda mrefu, alisema Mainda ambaye kabla ya kuokoka alikuwa Muislamu.
Too late may dear!!!!
Pole sana, lakini hapo kuna uzima Kweli?
STAA mwenye umbo la kipekee katika soko la filamu Bongo, Ruth Suka Mainda amefunguka kuwa ameamua kuukacha mkorogo aliokuwa akiutumia kwa muda mrefu.
Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema ameamua kuacha kutumia mkorogo kutokana na matakwa ya dini yake, amegundua anamkosea Mungu wake kwa kujichubua
.
Nimeamua tu kuacha kujichubua, mkorogo siyo kitu kizuri hata Mungu hapendi vitu hivi ndiyo maana nikaamua kuuacha japo nimetumia kwa muda mrefu, alisema Mainda ambaye kabla ya kuokoka alikuwa Muislamu.
kaacha kwa kuwa zile dawa nazo zinachakaza ngozi, kwa hyo inabidi awe mpole hapo
Kwani ile skendo aliyojipa ya kutoa mimba ya ray haikumpandisha??,sasa iv tena kaja na mkorogo,kesho sijui atakuja na nini,mweeh sema nakakubali aka kabinti kweny camera anakamua kishenz,sema kanaanza ujinga sasa iv
fafanunua vizuri dada ni dawa zipi?