La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,049
- 1,160
Habari wadauz.....
Nimeamua kufanya biashara ya Nguo za Kike za Mitumba.....Nimepata chumba mlango mmoja(Mwanza ) ila mzigo ntakuwa nachukua DAR...kwa kupoint na Siyo Robota,Je ntapata wapi mzigo mzuri kwa bei Poa?
kariakoo
Mwenge
Karume(Ilala ) ?
Msaada tafadhali
Nimeamua kufanya biashara ya Nguo za Kike za Mitumba.....Nimepata chumba mlango mmoja(Mwanza ) ila mzigo ntakuwa nachukua DAR...kwa kupoint na Siyo Robota,Je ntapata wapi mzigo mzuri kwa bei Poa?
kariakoo
Mwenge
Karume(Ilala ) ?
Msaada tafadhali