kwanini usiende Uganda mkuu ,tafuta uzi wa biashara za nguo Uganda ,ni mzuri sana utakusaidia
Kingine mimi ningekushauri utafute mahali pazuri especially wanapopita sana wanafunzi wa vyuo na wadada 20-35years hao ndo wanaendana na fashion .Wengine wamemaliza vyuo ndo wamepata kazi so wanahitaji kuonekana,wengine mikopo ,na umri huo ndo wanatafuta mabwana na mabuzi ya kuchuna .
huo ndo ushauri wangu