Then kuna mdada kidogo mkubwa wa mwenye nyumba nilikuwa nimezoea kumpa shikamoo sasa kapata kibwana Fulani kishikaji tu ambacho siwezi kukipa shikamoo ..aisee wakiwa wote napataga shida maana yule mshikaji namwambia mambo then yule sister nampa shikamoo cjui huwa wananichukuliaje hawa