Nimeamua Kujitunuku PHD

Nimeamua Kujitunuku PHD

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Habari za Week end

Ndugu zangu,Kwa mujibu wa Vigezo vya JMT na kwa kuzingatia uzamifu wangu katika masuala yanayonihusu Nimeamua kujitunuku Shahada ya 10 yaani PHD.Vigezo nilivotumia kujitunuku Shahada hio ni kama ifuatavyo;

  1. Nimeandika na kucahpisha katika Jarida Maarufu kabisa la Jamii Forums ambapo maandiko yangu mbalimbali yamefanikiwa kufanyiwa Peer Reviews na watu wa kada mbalimbali wakiwamo MODS wa JF wakiongozwa na Maxence Melo PHD ambaye naye ametunukiwa Shahada hio kutoka kwangu.Izingatiwe kwamba ili uzi wako upite na kuchangiwa hapa JF lazima uwe na upekee,ukiurudia unafutwa,ukiandika ujinga unalimwa ban,ukichabgia vizuri unapewa like,ukiburudisha unapewa Comment kabisa.Nyuzi za JF zinafanyiwa Review na watu wenye viwango vya elimu tofauti katika fani tofauti na hivyo mchnago wako kama mwandishi unafikia wengi(High impact Journal)
  2. Kwa Kuzingatia vigezo hivi basi pamoja na mimi naomba tupendekeze wana JF mbalimbali ambao wapaswa kutunukiwa PHD zao mwaka huu ili na waingia katika orodha ya Ma PHD holder wengine kutoka UDOM na INDIA kama Vile,Musukuma,Biteko etal
Naamini kabisa kama taifa tunahitaji PHD nyingi ili tuweze kuwa na maendeleo.Nisisitize kwamba Degree za PHD tunazotoa sio zile za PumbaHD bali ni PHD bora kabisa.Wakati tukiendelea kugawana hizi PHD zetu tutafakari yafuatayo;

Unawezaji kupata PHD bila kuchapisha hata nyuzi moja Jamii Forum,au hata kwenye majarida mengine ya kimataifa?Inawezekana kwa Tanzania tu.

Ombi kwa Uongozi wa JF,Mtupe vyeti kabisa baada ya kutupatia PHD zetu.

Nawatakieni kila la heri madokta watarajiwa kama Kiranga GENTAMYCINE Zitto na wengine wengi wenye kuhitaji PHD za Mchongo
 
Raha ya PhD utunukiwe ni kama wanachama wa chaputa hakuna cha maana wanachopata ukilinganisha na ile yenyewe
 
Habari za Week end

Ndugu zangu,Kwa mujibu wa Vigezo vya JMT na kwa kuzingatia uzamifu wangu katika masuala yanayonihusu Nimeamua kujitunuku Shahada ya 10 yaani PHD.Vigezo nilivotumia kujitunuku Shahada hio ni kama ifuatavyo;

  1. Nimeandika na kucahpisha katika Jarida Maarufu kabisa la Jamii Forums ambapo maandiko yangu mbalimbali yamefanikiwa kufanyiwa Peer Reviews na watu wa kada mbalimbali wakiwamo MODS wa JF wakiongozwa na Maxence Melo PHD ambaye naye ametunukiwa Shahada hio kutoka kwangu.Izingatiwe kwamba ili uzi wako upite na kuchangiwa hapa JF lazima uwe na upekee,ukiurudia unafutwa,ukiandika ujinga unalimwa ban,ukichabgia vizuri unapewa like,ukiburudisha unapewa Comment kabisa.Nyuzi za JF zinafanyiwa Review na watu wenye viwango vya elimu tofauti katika fani tofauti na hivyo mchnago wako kama mwandishi unafikia wengi(High impact Journal)
  2. Kwa Kuzingatia vigezo hivi basi pamoja na mimi naomba tupendekeze wana JF mbalimbali ambao wapaswa kutunukiwa PHD zao mwaka huu ili na waingia katika orodha ya Ma PHD holder wengine kutoka UDOM na INDIA kama Vile,Musukuma,Biteko etal
Naamini kabisa kama taifa tunahitaji PHD nyingi ili tuweze kuwa na maendeleo.Nisisitize kwamba Degree za PHD tunazotoa sio zile za PumbaHD bali ni PHD bora kabisa.Wakati tukiendelea kugawana hizi PHD zetu tutafakari yafuatayo;

Unawezaji kupata PHD bila kuchapisha hata nyuzi moja Jamii Forum,au hata kwenye majarida mengine ya kimataifa?Inawezekana kwa Tanzania tu.

Ombi kwa Uongozi wa JF,Mtupe vyeti kabisa baada ya kutupatia PHD zetu.

Nawatakieni kila la heri madokta watarajiwa kama Kiranga GENTAMYCINE Zitto na wengine wengi wenye kuhitaji PHD za Mchongo
Mental illness is real/ magonjwa ya akili kweli yapo,so chukua hatua
 
Kama wewe ni mwanasihasa nenda udom bila shaka utatunukiwa PhD kwenye sahani ya ubwabwa.....
 
Habari za Week end

Ndugu zangu,Kwa mujibu wa Vigezo vya JMT na kwa kuzingatia uzamifu wangu katika masuala yanayonihusu Nimeamua kujitunuku Shahada ya 10 yaani PHD.Vigezo nilivotumia kujitunuku Shahada hio ni kama ifuatavyo;

  1. Nimeandika na kucahpisha katika Jarida Maarufu kabisa la Jamii Forums ambapo maandiko yangu mbalimbali yamefanikiwa kufanyiwa Peer Reviews na watu wa kada mbalimbali wakiwamo MODS wa JF wakiongozwa na Maxence Melo PHD ambaye naye ametunukiwa Shahada hio kutoka kwangu.Izingatiwe kwamba ili uzi wako upite na kuchangiwa hapa JF lazima uwe na upekee,ukiurudia unafutwa,ukiandika ujinga unalimwa ban,ukichabgia vizuri unapewa like,ukiburudisha unapewa Comment kabisa.Nyuzi za JF zinafanyiwa Review na watu wenye viwango vya elimu tofauti katika fani tofauti na hivyo mchnago wako kama mwandishi unafikia wengi(High impact Journal)
  2. Kwa Kuzingatia vigezo hivi basi pamoja na mimi naomba tupendekeze wana JF mbalimbali ambao wapaswa kutunukiwa PHD zao mwaka huu ili na waingia katika orodha ya Ma PHD holder wengine kutoka UDOM na INDIA kama Vile,Musukuma,Biteko etal
Naamini kabisa kama taifa tunahitaji PHD nyingi ili tuweze kuwa na maendeleo.Nisisitize kwamba Degree za PHD tunazotoa sio zile za PumbaHD bali ni PHD bora kabisa.Wakati tukiendelea kugawana hizi PHD zetu tutafakari yafuatayo;

Unawezaji kupata PHD bila kuchapisha hata nyuzi moja Jamii Forum,au hata kwenye majarida mengine ya kimataifa?Inawezekana kwa Tanzania tu.

Ombi kwa Uongozi wa JF,Mtupe vyeti kabisa baada ya kutupatia PHD zetu.

Nawatakieni kila la heri madokta watarajiwa kama Kiranga GENTAMYCINE Zitto na wengine wengi wenye kuhitaji PHD za Mchongo
Kuwa na Adabu Wewe sawa? Yaani 'Brainiac' kama GENTAMYCINE ni wa kusubiria 'Doctorates' za Michongo?

Bachelor Degree yangu tu ya SAUT ( 2006 - 2009 ) na Ubongo wangu uliokuwa 'Gifted' na Mwenyezi Mungu ukichanganya na uwepo wangu 24/7 hapa JamiiForums ni PhD tosha kwani hata wenye Masters Degree na Doctorates zao 'Wananiogopa' sana.
 
Habari za Week end

Ndugu zangu,Kwa mujibu wa Vigezo vya JMT na kwa kuzingatia uzamifu wangu katika masuala yanayonihusu Nimeamua kujitunuku Shahada ya 10 yaani PHD.Vigezo nilivotumia kujitunuku Shahada hio ni kama ifuatavyo;

  1. Nimeandika na kucahpisha katika Jarida Maarufu kabisa la Jamii Forums ambapo maandiko yangu mbalimbali yamefanikiwa kufanyiwa Peer Reviews na watu wa kada mbalimbali wakiwamo MODS wa JF wakiongozwa na Maxence Melo PHD ambaye naye ametunukiwa Shahada hio kutoka kwangu.Izingatiwe kwamba ili uzi wako upite na kuchangiwa hapa JF lazima uwe na upekee,ukiurudia unafutwa,ukiandika ujinga unalimwa ban,ukichabgia vizuri unapewa like,ukiburudisha unapewa Comment kabisa.Nyuzi za JF zinafanyiwa Review na watu wenye viwango vya elimu tofauti katika fani tofauti na hivyo mchnago wako kama mwandishi unafikia wengi(High impact Journal)
  2. Kwa Kuzingatia vigezo hivi basi pamoja na mimi naomba tupendekeze wana JF mbalimbali ambao wapaswa kutunukiwa PHD zao mwaka huu ili na waingia katika orodha ya Ma PHD holder wengine kutoka UDOM na INDIA kama Vile,Musukuma,Biteko etal
Naamini kabisa kama taifa tunahitaji PHD nyingi ili tuweze kuwa na maendeleo.Nisisitize kwamba Degree za PHD tunazotoa sio zile za PumbaHD bali ni PHD bora kabisa.Wakati tukiendelea kugawana hizi PHD zetu tutafakari yafuatayo;

Unawezaji kupata PHD bila kuchapisha hata nyuzi moja Jamii Forum,au hata kwenye majarida mengine ya kimataifa?Inawezekana kwa Tanzania tu.

Ombi kwa Uongozi wa JF,Mtupe vyeti kabisa baada ya kutupatia PHD zetu.

Nawatakieni kila la heri madokta watarajiwa kama Kiranga GENTAMYCINE Zitto na wengine wengi wenye kuhitaji PHD za Mchongo
Tatizo mnahangaika sana na mambo ya watu wasiowahusu kuliko jitihada zenu binafsi.

Mnawashwa na pilipili msizokula nyinyi.

Wewe pia nenda UDOM kachukuwe yako badala ya kukonda vidole ukiandika kisichoweza kubadili lolote kwa mtunukiwa.
Unajipa stress za kulazimisha.

Acheni wivu!
 
Tatizo mnahangaika sana na mambo ya watu wasiowahusu kuliko jitihada zenu binafsi.

Mnawashwa na pilipili msizokula nyinyi.

Wewe pia nenda UDOM kachukuwe yako badala ya kukonda vidole ukiandika kisichoweza kubadili lolote kwa mtunukiwa.
Unajipa stress za kulazimisha.

Acheni wivu!
umeona ee/Watu wanajipa stress badala ya kwenda kudangia Ph.Ds
 
Habari za Week end

Ndugu zangu,Kwa mujibu wa Vigezo vya JMT na kwa kuzingatia uzamifu wangu katika masuala yanayonihusu Nimeamua kujitunuku Shahada ya 10 yaani PHD.Vigezo nilivotumia kujitunuku Shahada hio ni kama ifuatavyo;

  1. Nimeandika na kucahpisha katika Jarida Maarufu kabisa la Jamii Forums ambapo maandiko yangu mbalimbali yamefanikiwa kufanyiwa Peer Reviews na watu wa kada mbalimbali wakiwamo MODS wa JF wakiongozwa na Maxence Melo PHD ambaye naye ametunukiwa Shahada hio kutoka kwangu.Izingatiwe kwamba ili uzi wako upite na kuchangiwa hapa JF lazima uwe na upekee,ukiurudia unafutwa,ukiandika ujinga unalimwa ban,ukichabgia vizuri unapewa like,ukiburudisha unapewa Comment kabisa.Nyuzi za JF zinafanyiwa Review na watu wenye viwango vya elimu tofauti katika fani tofauti na hivyo mchnago wako kama mwandishi unafikia wengi(High impact Journal)
  2. Kwa Kuzingatia vigezo hivi basi pamoja na mimi naomba tupendekeze wana JF mbalimbali ambao wapaswa kutunukiwa PHD zao mwaka huu ili na waingia katika orodha ya Ma PHD holder wengine kutoka UDOM na INDIA kama Vile,Musukuma,Biteko etal
Naamini kabisa kama taifa tunahitaji PHD nyingi ili tuweze kuwa na maendeleo.Nisisitize kwamba Degree za PHD tunazotoa sio zile za PumbaHD bali ni PHD bora kabisa.Wakati tukiendelea kugawana hizi PHD zetu tutafakari yafuatayo;

Unawezaji kupata PHD bila kuchapisha hata nyuzi moja Jamii Forum,au hata kwenye majarida mengine ya kimataifa?Inawezekana kwa Tanzania tu.

Ombi kwa Uongozi wa JF,Mtupe vyeti kabisa baada ya kutupatia PHD zetu.

Nawatakieni kila la heri madokta watarajiwa kama Kiranga GENTAMYCINE Zitto na wengine wengi wenye kuhitaji PHD za Mchongo
My Tanzania country is becoming another Nigeria
 
Gharama sh. Ngapi mkuu? Nahisi na qualify . Na mie niitwe Dr. Mtolewa( PhD- 2021 @ kukojaza University of Men at work)
Gharama ni kushuhudia namna unavyo mkojoza mkeo live.
Ukishindwa kumkojoza mm nakusaidia bure maana nina uzoefu wa miaka 25 kwenye eneo hilo.
 
PhD - pengine hana Degree according to vijana wa ovyo huko instagram
 
Back
Top Bottom