Heshima kwako ELNINO,
Wazo lako zuri sana binafsi nimeshalifanyia kazi tangu mwaka 2008, baada ya kugundua mshahara pekee bila kuwa na kipato kingine cha uhakika ni balaa kadri siku zinavyosonga mbele kwasababu majukumu yanazidi kuongezeka eg:watoto na nk.
Nimenunua shamba eka 250 kwa tsh 3.5 mil maeneo ya Kabuku Tanga na kuanza kulima mwaka huo huo(2008).Project yangu nimeigawanya katika sehemu kuu mbili [1] Mazao ya msimu eg;Mahindi,Dengu,Choroko,Mbahazi,Alizeti na Ufuta
[2] Mazao ya kudumu eg Maembe ya kisasa,Machungwa,Mananasi,korosho na Minazi.
Mazao ya msimu yamenisaidia sana kupunguza gharama za uendeshaji ambazo kwa kweli ni kubwa kuliko ulizozitaja hasa ukizingatia kila mwezi naenda shambani mara mbili.
Zipo faida nyingi ambazo tayari nimeshaanza kuziona hata hivyo kitu kilicho wazi kabisa ni kuongezeka kwa kipato mara dufu.
Ushauri wangu kwa wanaJF wote tuchangamkie kilimo kwasababu kinalipa sana,tuache kubweteka mijini au kufanya shughuli ambazo tayari watanzania wengine wameshazianzisha eg saloon,biashara ya taxi au daladala.Ardhi Tanzania bado ni rahisi sana nina uhakika kama unapata mshahara kuanzia 500,000/= na kuendelea unao uwezo wa kumiliki shamba kubwa ambalo litakusaidia wewe na kizazi chako.Tumekataa wana EAC kumiliki ardhi Tanzania wakati sisi wenyewe tunaiangalia bila kuifanyia kazi itafika siku hatutakuwa na sababu za kuwakatalia.
Hongera sana Elnino umeamua jambo jema Mungu akubariki.
Naomba kuwasilisha.
Kwa nini usianze wewe na sisi tukufuate? joke. Mkuu kuna mapori mengi sana ambayo sio ya kununua ila kuokota tu basi, Mimi naamini tukiwa pamoja ki-jkt jkt hivi kambi itanoga.
Mkuu maneno haya ni ya kweli. Na tofauti hii inasababishwa na aina ya udongo. Mahindi ya Tanga ndiyo yanashika mkia ktk biashara ya mahindi.Halafu wakuu nimesikia kuwa mahindi ya Dodoma yanatoa unga kilo nyingi yakisagwa kuliko mahindi ya sehemu zingine.
Na kwamba mahindi ya Mbeya (na nyanda za juu kusini) unga wake ni mtamu kuliko mengine.
Kwa hiyo nikasikia kuwa mahindi ya Dodoma huwa yananunuliwa kwa bei kubwa, na yanawahi kuisha sokoni.
Swali je:
1. Hayo maneno ni kweli?
2. Kama ni kweli, je sababu ni nini? - Hali ya hewa au aina ya mbegu au vyote? Mfano unaweza ukapanda mahindi ya Dodoma Mbeya na vice versa?
Akikujibu unitag. Huyu atakuwa alikiingia kilimo cha mahindi kichwakichwa, akapata hasara ya kufa mtuMwanzilishi wa hii thread tupe uzoefu mambo yalikwendaje?
Mkuu wewe hukijui kilimo cha mahindi, utakuwa umesimuliwa tu. Tena aliyekusimulia ni MTU mzima na siyo kijana. Hivyo ametoa simulizi za kilimo cha mahindi ktk mkoa wa Moro miaka ya nyuma sanaMakadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30,
mkuu ulifanya maamuzi mazuri sana mkuuJF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.
Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.
Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.
Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.
Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Swali ni kwamba unalima kwa kutegemea hii mvua ya Mungu wetu au unamwagilia!? Hilo moja, pili ni muwa je umesahawahi kulima? Na uana wataalam wowote in this noble initiative? Ni vizuri kuyaangalia hayo pamoja na mambo mengine mengi ya kitaalamu ili ushinde Elnino! Bye for nowmkuu ulifanya maamuzi mazuri sana mkuu
ELNINO, sijapitia uzi wako kwa muda mrefu tangu ulipouleta hapo 2010. Leo ni 2018, kwa kweli binafsi nitafurahi na kuhamasika sana kujua maendeleo ya mradi huo leo - yaani miaka minane (08) tangu ulete uzi huu. Ni ombi tu ili tujue feedback na maendeleo yako katika kilimo hiki huko TULIANI.JF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.
Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.
Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.
Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.
Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Tujuze maendeleo ya huo mradi eight years after your post in 2010 ELNINO!mkuu ulifanya maamuzi mazuri sana mkuu
mkuu dk 9089 iringa vp?...udongo ufinyanzafinyanzi...nataka kuuza gobo!Tafuta Dk ni nzuri sana, au Duma.
mkuu dk 9089 iringa vp?...udongo ufinyanzafinyanzi...nataka kuuza gobo!Mbegu za DK Zina mazao mengi, shida sasa ni unga wake ni mwepesi sana, hivyo hutumia unga mwingi kupika ugali wa watu WACHACHE.
Kwa Tanga ambapo ni pwani, tumia Seedco 403, mahindi yake ni mazito, na pia ya muda mfupi.
Kwa mahindi ya kuuza mabichi, mahindi mazuri ni hybrid Ile ya Kenya ya muda wa Kati, kwani iringa siyo baridi sana wala siyo joto sana, kwa sababu yanasukari kuliko dk.mkuu dk 9089 iringa vp?...udongo ufinyanzafinyanzi...nataka kuuza gobo!
Hivyo vifaranga mnaviuza kwa shiling ngapi?Jamani wana JF; tunauza vifaranga vya kienyeji PURE; mbegu toka Morogoro; Mbeya; Iringa; Dodoma na Morogoro: Pia tunatotoresha mayai aina zote kwa 8,000 kwa tray. Tuwasiliane kwa PM au piga 0682 231053