Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Najua ameuliza hili swali kwa mda mrefu,japo si vibaya nikikujibu leo.Naomba kufahamishwa mbegu ya mahindi yenye sifa zifuatazo:
1: inayostawi ukanda wa chini
2: yenye punje kubwa
3:inayostahimili magonjwa.
Asante kwa uffafanuzi mzuriNajua ameuliza hili swali kwa mda mrefu,japo si vibaya nikikujibu leo.
1.Kwa ukanda wa chini mbegu ya DK 8053,na DK 9089 zinafanya vizuri na baadhi ya mbegu za SeedCo.
2.Ukanda wa kati
DK 9089,H625,H 614.
3.Ukanda wa juu
DK 777,H614 hata H 625 huwa inafanya vizuri.
Kwa sasa madukani kuna mbegu nyingi sana za makampuni tofauti. Ni vema ukaomba ushauri kwa wauzaji wa pembejeo au wataalamu wa kilimo walio eneo lako ili wakusaidie zaidi.
Tatizo mnataka kutoka shambani kwenda sokoniMahindi.
Bora nilime Maharage.
Ukichagua mbegu bora ya Maharage hukosi Soko.
Mahindi yalisha nikatisha tamaa ya kulima.
Tatizo ni Soko
Nimesema tatizo ni Soko, Maharage yana soko kupita mahindi.Tatizo mnataka kutoka shambani kwenda sokoni
Heshima kwako ELNINO,
Mkuu wangu bei ya mbegu ni tsh 3500/= per kilo,utatakiwa kutumia kilo 10 kwa kila eka. 3500 x 10 x 50 = 1,750,000/=.kulima eka moja si chini ya tsh 20,000/= x 50 = 1,000,000/=.kupanda eka moja si chini ya tsh 5,000/= x 50 = 250,000/=,kupalilia eka moja si chini ya 10,000/= x 50 = 500,000/= kuvuna,kuhifadhi [magunia & dawa],kupukuchua na kusafirisha ni gharama inategemea na umbali wa masoko.Mkuu gharama za chini kabisa weka 8,000,000/= pembeni kwaajili ya hiyo shughuli yako.
hapa ndio inapokuja sala la kujua ni mbegu gani bora an jee shamba linahitaji mbolea kiasi gani ili uweze kupata mazao mengi per sq meter, in essence bushels per acre....kwa kifupi bado hatulimi kibiashara na hatufanyi utafiti wa kutosha!Jambo Moja linalofurahisha
Gharama zote zilizotajwa hapa kwa sasa ni Mara 3 yake na Bei ya Mahindi iliyotajwa kwenye thread mwaka huu ilikuwa 1/3 yake yaani gunia limechezea 25,000-35,000.
Sina hakika kama ELNIN0 kama akiweza ku realize Return on Investment
Umesema kwa miaka kumi ijayo hutokuwa na milion 500 kutegemea mshahara wako ...lets assume una milion 400 kwa miaka kumi sawa na milion 40 kila mwaka sawa na milion 3.3 kila mwezi afu unasema utakufa masikini😁JF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.
Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.
Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.
Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.
Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Unaongelea post ya mwaka 2010 mkuu! Jifunze kusoma na kuelewa!Ulime ekar 70 kwa 5m??hahaha
Wazo zuriJF
Hali ya uchumi ni ngumu sana kwa watu wote hasa tunategemea mwisho wa mwezi. Weekend nilijaribu kupiga hesabu za mishahara yangu in next 10 years....ooooooooooops hazikufika hata 500millions Tshs.
Kwa maneno mengine kama sintantafuta kitu mbadala mbali na mshahara wangu cha kufanya basi nishakufa maskini na sintakuwa na chochote cha kuwaachia wanangu.
Maisha ni magumu sana kadri siku zinavyoenda mbele, sasa nimeamua kuanza kilimo kwa mara ya pili, awamu hii natumia mshahara wangu kama mtaji, nimewaambia kwa mara ya pili sababu kilimo cha kwanza nilifanya pamoja na wazazi wangu hadi nilipomaliza form four miaka hiyo, hicho hakikuwa na manufaa yeyote sababu ya mtaji na ufahamu.
Kwa sasa nimeanza na heka 50 ( 70m by 70m), nipo morogoro - pale Tuliani. Heka zote zimeshalimwa sasa tunapanda - nita expand my project up to 1,000 in next 3 - 5 years.
Makadirioni kwamba kila hekari average ni gunia 30, nitategemea kupata gunia 1500 za mahindi kutokana na hekari zangu za sasa 50. Kila gunia average selling price ni Tshs 60,000. kwa hiyo nitapata average Tshs 90m by July this year.
Running cost itakuwa approx 5m, so super profit ni 85m by July 2010.
Sasa 85m kwa mtu anayepokea sh 1million kwa mwezi ni mshahara wake wa miaka 7 na ushee-- teh teh teh teh
By next year nitaexpand to 200 hektas, nitalipima shamba langu na nijaribu kutafuta mikopo katika mabenki - or mbia toka SA au Zimbabwe. by 2015 wakati Dr Slaa anakuwa Rais wa nchi nitakuwa millionea. Sasa ole wenu mseme nimefanya ufisadi.
This is a challenge to you JF - hasa mnaopata less than 5m per month - think twice and join me.
Kumbuka shairi la darasa la nne - Kama mkitaka mali mtayapata shambani - huu ni wosia.
Karibu geita tu nalima mahindi kwa mwaka misimu miwiliWazo zuri
Nataka lima mahindi