Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

Elnino,

Habari za shughuli.

Ningependa kujua hali ya mahindi yako. Yanaendeleaje? Unategemea kuvuna lini?
 
Kaka elnino nashukuru kwa thread yako lakini tahadhari. Mimi nimelima mwaka huu mvua zimekataa nilikuwa na malengo kama yako lakini kilimo kwanza kimeniponza.nimepeleka mshahara wangu wa miezi minne shambani imekula kwangu.lakini kwa moro nafikiri hali ya hewa ni tofauti na kwetu,wape tahadhari wanaotaka kulima wawe makini wasije kichwakichwa

1. Watafute eneozuri la kulima
2. Wawe na mtaji wa kutosha
3. Wawe tayari kuingia shambani kusimamia [kilimo si mchezo]
4. Wawe tayari kwa matokeo yoyote kukosa au kupata, wakishakubali tuwakaribishe
 

Pole nafikiri utakuwa maendeo ya bara, yes kwa bara mzee huwa ni bahati nasibu, jaribu maeneo ya ukanda huu wetu ukizingatia huku kuna misimu miwili kwa mwaka basi huwezi kosa kabisa.

Ni kweli yote haya umenena, na ndiyo maana watu hawapendi kuingiza pesa zao kwa kitu ambacho ni bahati nasibu, unajua kuwekeza kwenye kilimo kunahitaji moyo wa ajabu (ujasiri) let say unaingiza 20m then unatengemea mvua za mungu hiyo ni risk kubwa sana lakini sasa ufanyaje na huna mtaji wa kilimo cha umwagiliaji?

Mi nashauri watu wasiogope wa-play card zao waingize pesa lakini wakumbuke kucheki hizo points 4 alizozitoa mdau hapo juu. Mimi naamini hata hao wakulima wakubwa duniani kuna siku walianza kwa kutumia mvua za mungu na vimtaji vidogo vidogo kama vyetu. So let us move on, mzee usikate tamaa jipange tena mwakani.

Kwa sisi Moro mvua ni safi so far, tunategemea kama itanyesha tena end of May or mwanzoni mwa June basi its done.
 
Thank you ELININO, but remember life doesn't keep other things constant. If GOD wish you will leave in your dreamz may GOD help you in this plan.
 
Thank you ELININO, but remember life doesn't keep other things constant. If GOD wish you will leave in your dreamz may GOD help you in this plan.


Firstcollina, thanks for your comment & wishes, I'm still on this project really. My first season outputs will be accessed by end of August.

I have also started to set strategic plan for a new season 2011 – thinking to expand this project three to four times of the current capacity.
 
Hivi vp mkuu umesha vuna awamu ya ngapi sasa?
 
hi elnino,
ukivuna tupe picha on line,
ukivuna mengi let me know ninandugu ana saga na kupack unga,unatarajia kuvuna tani ngapi?
 
jamani infact na mimi naguswa sana na hili wazo zima la kilimo kwanza......ndugu yangu wa moro naomba unisaidie shamba la kukodi na mimi ekari za kutosha na mimi nijisogeze.....maana ndugu hali mbaya........can be reached through 0717107505
 
Heshima kwako El,

Mkuu vipi mahindi yanaendeleaje ?.Mimi nilikuwa Kabuku wiki iliyopita mahindi yameshaanza kukauka naanza kujiandaa na ununuzi wa magunia na dawa za kuzuia wadudu.

Hali ya soko la mahindi ni mbaya sana gunia moja la mahindi [debe sita] ni Tshs. 21,000/=,hali itazidi kuwa mbaya kipindi wakulima watakapoanza kuvuna kuanzia mwezi wa tisa na kuendela. Ujanja hapa ni kuhifadhi mpaka hali ya soko itakapokuwa nzuri.

Sijui soko la EAC kama litaweza kutusaidia kupata bei nzuri.
 
Yupo shambani jamani. Kuweni na subira.
 
Acha maneno ya kukatisha tamaa, siamini kama EL NINO anaweza kukimbia kwa sababu naamini ni mtu makini,. atakuwa busy Tuliani kushughulikia shamba.

Kuhusu kushuka bei kwa Mahindi, naweza kukubaliana na Ngongo kwamba ni vema kuyahifadhi hadi soko litakapokuwa zuri. ila katika ili inabidi uwe na ghala zuri na upambane vema na wadudu wahalibifu.

Thanks Guys!!!
 
El nino mashamba Tuliani yanauzwa sh ngai kwa ekari.
 
The poor are too risk aversive to be rich. To emancipate the poor you need to make them take more risk. Hongera brother
 

Mkuu biashara ya kulima haitaki haraka, mara nyingi ni biashara ya mara moja kwa mwaka, unawekeza december unakuja kuuzza december au feb ndyo utapata faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…