Nimeamua kulima, naomba msaada

popo1986

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
1,120
Reaction score
372
Wanabodi binafsi kwa ukakasi wa maisha nimeona bora nilime lkn nikiwa na maono ya kuwa supplier mkubwa nchini na nchi za Jirani hususani katika restaurants na hotels... Kwa kuwasambazua Nataka kama mchele, unga, kunde na mazao mengi ya chakula.....
Nahitaji MSAADA na ushauri juu ya wapi Naweza kupata shamba kubwa kwenye udingo wenye rutuba nzuri ....naomba msaada ktk hilo

0625520125
 
ushauri wangu husijefika shamba kumbe pembejeo umeziacha mjn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…