Nimeamua kupumzisha sehemu za siri hadi mwezi March mwaka ujao

Nimeamua kupumzisha sehemu za siri hadi mwezi March mwaka ujao

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Nahisi ni wakati sahihi wa kuanza kufanya maendeleo na kufikiria ni kwa jinsi gani ninaweza kutoboa kimaisha. Imenibidi kuachana na mawazo ya mbususu katika akili yangu.

Kipato changu cha wiki kwa sasa ni Tsh. 90,000. Cha ajabu kiasi cha Tsh. 40,000 nakielekezea kwa Mariam huku kiasi cha Tsh. 10,000 nikikielekezea kwa Bi Mkubwa. Kiasi kinachobaki ni kwa ajili ya chakula changu pamoja na pesa ya umeme

Inasikitisha sana wakuu. Leo akili ndiyo imeamka baada ya kukuta taarifa kwenye simu yangu ikiniambia "Bado siku 17 ulipie kodi ya miezi sita ijayo. Mimi mama mwenye nyumba". Hapo nimetamani kurudisha ujumbe unaosomeka "Ushawahi kupapuchana na mtu mwenye de libol likubwa mama mwenye nyumba?"

Kwa hali hii nimeamua kulipumzisha kabisa. Badala yake kuliko kwenda masaa 20 kwa wiki, ni muda wa dakika 14 tu kwa wiki, kwa lugha nyingine nitahudhuria chaputa ya dk. mbili mbili kila siku hadi mwezi wa tatu mwaka ujao

Kwa sasa nimekwisha ziuia mawasliano zaidi ya 60 kwenye simu yangu. Kwa makusudi kabisa nimeanzisha chuki uchwara na majirani wanawake kama 7 mtaani. Rasmi nimeamua kutengeneza urafiki na watumishi n.k.

Katika safari yangu hii ya kuokoa uchumi wangu, tayari nishaanza kupata vikwazo mbalimbali kama vile kukubaliwa na binti aliyenipeleka puta kwa zaidi ya miezi miwili, kuna picha nzuri ya aina yake na mtrako juu [emoji39][emoji39] imeamia hapa kitaani, kwa sasa napokea salamu nyingi kutoka kwa wachumba barabarani.

Kuna binti alipita mitaa ya gheto akiwa na khanga kisha kuifunua kwa bahati mbaya nikaona utamu ulivyoumuka kiasi cha kupoteza mawasiliano kwenye kichwa kikuu, mke wa mtu kutazama kifua changu wakati natoka kuoga na kuishia kumwaga udenda n.k.

Yote kwa yote msimamo wangu uko palepale, naombeni mniombee!

Na hili nalo mkalitizame kwa kina.
 
Nahisi ni wakati sahihi wa kuanza kufanya maendeleo na kufikiria ni kwa jinsi gani ninaweza kutoboa kimaisha. Imenibidi kuachana na mawazo ya mbususu katika akili yangu.

Kipato changu cha wiki kwa sasa ni Tsh. 90,000. Cha ajabu kiasi cha Tsh. 40,000 nakielekezea kwa Mariam huku kiasi cha Tsh. 10,000 nikikielekezea kwa Bi Mkubwa. Kiasi kinachobaki ni kwa ajili ya chakula changu pamoja na pesa ya umeme

Inasikitisha sana wakuu. Leo akili ndiyo imeamka baada ya kukuta taarifa kwenye simu yangu ikiniambia "Bado siku 17 ulipie kodi ya miezi sita ijayo. Mimi mama mwenye nyumba". Hapo nimetamani kurudisha ujumbe unaosomeka "Ushawahi kupapuchana na mtu mwenye de libol likubwa mama mwenye nyumba?"

Kwa hali hii nimeamua kulipumzisha kabisa. Badala yake kuliko kwenda masaa 20 kwa wiki, ni muda wa dakika 14 tu kwa wiki, kwa lugha nyingine nitahudhuria chaputa ya dk. mbili mbili kila siku hadi mwezi wa tatu mwaka ujao

Kwa sasa nimekwisha ziuia mawasliano zaidi ya 60 kwenye simu yangu. Kwa makusudi kabisa nimeanzisha chuki uchwara na majirani wanawake kama 7 mtaani. Rasmi nimeamua kutengeneza urafiki na watumishi n.k.

Katika safari yangu hii ya kuokoa uchumi wangu, tayari nishaanza kupata vikwazo mbalimbali kama vile kukubaliwa na binti aliyenipeleka puta kwa zaidi ya miezi miwili, kuna picha nzuri ya aina yake na mtrako juu [emoji39][emoji39] imeamia hapa kitaani, kwa sasa napokea salamu nyingi kutoka kwa wachumba barabarani.

Kuna binti alipita mitaa ya gheto akiwa na khanga kisha kuifunua kwa bahati mbaya nikaona utamu ulivyoumuka kiasi cha kupoteza mawasiliano kwenye kichwa kikuu, mke wa mtu kutazama kifua changu wakati natoka kuoga na kuishia kumwaga udenda n.k.

Yote kwa yote msimamo wangu uko palepale, naombeni mniombee!

Na hili nalo mkalitizame kwa kina.
Uzinzi na uasherati vinamaliza sana pesa
 
Kuhonga bila mpango hakujawahi kuwa faida zaidi ya majuto. Unakuta kijana wazazi wake wana shida balaa yeye yuko bize kuhonga wanawake. Unapata laki 4 kwa mwezi halafu unahonga elfu 80, si ukichaa huo.
 
Yaan mkuu sheria ya umalaya inatakiwa uhonge asilimia 10% ya kipato chako kwa siku la sivyo maendeleo utayasikia kwenye radio,lahasha nunua wale malaya wa 3000 hawana gharama kabsa.Kingne inabid angalau kwa wk ugonge hata papuchi mara mbili na sio kila siku papuchi kama chai vile...yaan hyo 10% ya kipato chako kama ni kidogo inabidi udundulize asilimia 10 kila siku ndo unajilipua,lets say unaingiza 10k kwa siku i.e 10% ni 1k so inabid 1k uzikusanye everyday hata kwa mwezi ndo unahonga thats simple.tatizo vijana mnashindwa kujisimamia wenyewe utakuta mtu anaingiza 10k kwa siku halafu anahonga yote duu[emoji23][emoji23]
 
Yaan mkuu sheria ya umalaya inatakiwa uhonge asilimia 10% ya kipato chako kwa siku la sivyo maendeleo utayasikia kwenye radio,lahasha nunua wale malaya wa 3000 hawana gharama kabsa.Kingne inabid angalau kwa wk ugonge hata papuchi mara mbili na sio kila siku papuchi kama chai vile...yaan hyo 10% ya kipato chako kama ni kidogo inabidi udundulize asilimia 10 kila siku ndo unajilipua,lets say unaingiza 10k kwa siku i.e 10% ni 1k so inabid 1k uzikusanye everyday hata kwa mwezi ndo unahonga thats simple.tatizo vijana mnashindwa kujisimamia wenyewe utakuta mtu anaingiza 10k kwa siku halafu anahonga yote duu[emoji23][emoji23]
Na kweli, itabidi nijenge urafiki na viongozi wa kanisa wanisaidie kisaikolojia! Wiki mbili tu zimebaki nifukuzwe kwenye pango la watu! Kwenye kibubu nina 7k tu [emoji24][emoji24]
 
Shida ni kwamba hauna kipato imara halafu unapenda umalaya.
Pambana pato lako liongezeke umalaya utaufanya mbeleni.
We ndo huyo hapo kwenye avatar? [emoji39][emoji39][emoji1651][emoji1651]
 
Back
Top Bottom