Nimeamua kupumzisha sehemu za siri hadi mwezi March mwaka ujao

Bora umeamua kuelekeza akili kufanya vitu vya maendeleo, kufukuzana na mbususu ni kazi sana.
 
Wakazi wa nchi hii wanapenda zaidi vitu vitatu
1. Ngono
2. Pombe
3. Fensi
Eti unakuta mtu hata nyumba hajamaliza, ila tayari keshajenga uzio ili 'kujitenga' na majirani!
Hiyo ya fensi umenichekesha....[emoji23]
 
Wakazi wa nchi hii wanapenda zaidi vitu vitatu
1. Ngono
2. Pombe
3. Fensi
Eti unakuta mtu hata nyumba hajamaliza, ila tayari keshajenga uzio ili 'kujitenga' na majirani!
Ndio uache tabia ya uswahili jamaa
 
Tunakutakia heri hali yako ya kiuchumi iimarike ulipe deni la mama mwenye nyumba kisha urudie hali yako ya zamani ya kungonoka bila utaratibu.

Hapo bado haujaamua kuachana na tamaa ya uzinzi isipokuwa una stress za kiuchumi. Hali ikiimarika utarudia tabia yako.
 
Ukifanikiwa naomba unijulishe na mimi mikakati yako, ili niiweke kwenye agenda ya kikao kikuu cha halmashauri ya kichwa changu ili namimi niweze kufanikiwa kama wewe!
 
Wakazi wa nchi hii wanapenda zaidi vitu vitatu
1. Ngono
2. Pombe
3. Fensi
Eti unakuta mtu hata nyumba hajamaliza, ila tayari keshajenga uzio ili 'kujitenga' na majirani!
Majirani ni miyeyusho na masnitch tu.
 
Hiyo 10% ni unrealistic kwa sababu hapo bado guests,kula,kunywa,nauli na pocket money..

Na kama una wanawake kama 3 je?
 
genye mbaya sanaaaa, ziamukapooo unaweza wehukaaa

nakumbuka matumizi ya mafuta ya taa boarding skuli ili kupunguza mzukaa wa genye
 
genye mbaya sanaaaa, ziamukapooo unaweza wehukaaa

nakumbuka matumizi ya mafuta ya taa boarding skuli ili kupunguza mzukaa wa genye
Mwishoe yana madhara, maana wakati mwingine bolloyang anakosa msisimko kabisaa
 
Pumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…