Kutoka a na sheria ya maudhui zile nada zako za ushirikiano zitafutwa ee.?Bila kuyatunza makaburi kuna mengi yanaweza kufanyiwa
Wanga watayageuza vilinge
Wachawi watayageuze machimbo ya malighafi
Vibaka watayageuza maficho na ukabaji
Wahuni watayageuza vijiwe vya bangi na ubakaji
Machangu watayageuza gesti bubu
Mwanzoni ulikuwa wapi? Ukitoka ccm Sasa hamia CHAUMANiliachana na ccm mwaka 1984 kwenye ile vita ya uhujumu uchumi iliyotumiwa vibaya na watendaji wa ccm chini ya hayati waziri mkuu Edward Moringe Sokoine...!!!!
Biashara za familia zilizikwa na ile vita kwa uonevu mkubwa sana...kuingia 1985 ya mzee ruksa sikuwa na hata chembe ya kuwa ccm
Mzee ruksa Alivurunda zaidi aliporuhusu biashara huria bila ya maandalizi na kwa mara ya kwanza wabongo tukaanza kuendesha magari reject toka Japan maarufu kama JABA....Na ndio tukabadili mfumo wa plate number kutoka TZ na zile plate number kwa mikoa yaani AR-Arusha, TA-Tanga nk na kungia kwenye mfumo wa TZA, TZB, TZC ... ..Mfumo ulioua registration za mikoa
Tukawa sasa tuna sajili plate number mpya gari mtumba reject.PATHETIC POOR PEOPLE...!!!! Peugeot house ikafa rasmi
Akaja Ben Mkapa msomi nguli RIP ...Akafanya ubinafsishaji mkubwa sana...chote alichokijenga Mchonga kwa miaka 37...CCM ya Mkapa ikakifisadi overnight!!!!
National battery
Ubungo spinning
General tyre
Mang'ula tools
Ufi
National milling
RTC
TTCL
nknknk
Kilichomuumiza Mchonga kuliko vyote ni NBC ..kuuziwa makaburu kwa bei ya kutupa
Chuki yangu kwa ccm ikazidi..Hizi ndio zile nyakati kukawa na pengo la wazi kati ya walio nacho na wasio nacho..ikawa ukiwa na bendera ya ccm kwenye gari lako wewe ni untouchable...na ndio hapa Sumaye akiwa waziri mkuu akatangaza wazi kuwa UKITAKA MAMBO YAKO YAKUNYOOKEE KUWA CCM
Nyakati ni kurasa ...ukurasa wa Ben ukapita na makandokando yake yote..Akaja mzee wa msoga...wote hawa ni ccm ...yani wananchi tunapigwa mtungo bila huruma na watu walewale
Mzee wa Msoga..akalegeza kidogo..halafu akalegeza kabisa...kama taifa tukaingia kwenye auto mode...yaani tulikuwa tunaenda tu
Baada ya msoga tukapaa mpaka Chuttle tulikofungua kurasa mpya baada ya kufunga za Msoga...
Ni wazi kurasa za chuttle ndio zitahimitisha kitabu kikubwa cha zama za ccm...yaani TUNASOMA UKURASA WA MWISHO KISHA TUSOME NENO TAMATI tufunge rasmi kitabu cha ccm tukakiweke maktaba kama kumbukumbu
Sasa kwanini nataka nirudi kuwa sehemu ya kitu kinachofikia kikomo?
Nataka niwe mtunza kumbukumbu...kitabu KIPYA kijacho kinaweza kukitupa ghalani kitabu cha zamani..ghalani kuna vumbi na tandabui ..nataka niwe mfagizi ghalani
Ni hulka yetu kutunza wazee waliomaliza muda wao..nataka nirudi nyumbani ccm nikamtuze mzee wangu huyu...nataka nikae naye kwa upendo huku nikimkumbusha madhila yote ubabe wote ukatili wote mabaya yote aliyotufanyia katika maisha yake yote ya miaka 59...
Tangu leo kwa akili zangu na bila kushurutishwa na ahadi nono za kitapeli za kuunga juhudi NATANGAZA RASMI KURUDI CCM ...Lumumba nipokeeni...nimeshazoea kuwa MPINZANI
CCM ni kawaida Kununua watu.umefika beiMwanzo nilikuwa ccm halafu nikawa sina chama rasmi sasa nimeamua kurudi tena ccm..huko chauma ni ushauri wako nimeusikia lakini sina mpango nako
Dah yaani kwamba CCM inapoteza madaraka alafu inakuwabupinzani uchaguzi huu na wewe unataka uwe chama pinzani atiiiNiliachana na ccm mwaka 1984 kwenye ile vita ya uhujumu uchumi iliyotumiwa vibaya na watendaji wa ccm chini ya hayati waziri mkuu Edward Moringe Sokoine...!!!!
Biashara za familia zilizikwa na ile vita kwa uonevu mkubwa sana...kuingia 1985 ya mzee ruksa sikuwa na hata chembe ya kuwa ccm
Mzee ruksa Alivurunda zaidi aliporuhusu biashara huria bila ya maandalizi na kwa mara ya kwanza wabongo tukaanza kuendesha magari reject toka Japan maarufu kama JABA....Na ndio tukabadili mfumo wa plate number kutoka TZ na zile plate number kwa mikoa yaani AR-Arusha, TA-Tanga nk na kungia kwenye mfumo wa TZA, TZB, TZC ... ..Mfumo ulioua registration za mikoa
Tukawa sasa tuna sajili plate number mpya gari mtumba reject.PATHETIC POOR PEOPLE...!!!! Peugeot house ikafa rasmi
Akaja Ben Mkapa msomi nguli RIP ...Akafanya ubinafsishaji mkubwa sana...chote alichokijenga Mchonga kwa miaka 37...CCM ya Mkapa ikakifisadi overnight!!!!
National battery
Ubungo spinning
General tyre
Mang'ula tools
Ufi
National milling
RTC
TTCL
nknknk
Kilichomuumiza Mchonga kuliko vyote ni NBC ..kuuziwa makaburu kwa bei ya kutupa
Chuki yangu kwa ccm ikazidi..Hizi ndio zile nyakati kukawa na pengo la wazi kati ya walio nacho na wasio nacho..ikawa ukiwa na bendera ya ccm kwenye gari lako wewe ni untouchable...na ndio hapa Sumaye akiwa waziri mkuu akatangaza wazi kuwa UKITAKA MAMBO YAKO YAKUNYOOKEE KUWA CCM
Nyakati ni kurasa ...ukurasa wa Ben ukapita na makandokando yake yote..Akaja mzee wa msoga...wote hawa ni ccm ...yani wananchi tunapigwa mtungo bila huruma na watu walewale
Mzee wa Msoga..akalegeza kidogo..halafu akalegeza kabisa...kama taifa tukaingia kwenye auto mode...yaani tulikuwa tunaenda tu
Baada ya msoga tukapaa mpaka Chuttle tulikofungua kurasa mpya baada ya kufunga za Msoga...
Ni wazi kurasa za chuttle ndio zitahimitisha kitabu kikubwa cha zama za ccm...yaani TUNASOMA UKURASA WA MWISHO KISHA TUSOME NENO TAMATI tufunge rasmi kitabu cha ccm tukakiweke maktaba kama kumbukumbu
Sasa kwanini nataka nirudi kuwa sehemu ya kitu kinachofikia kikomo?
Nataka niwe mtunza kumbukumbu...kitabu KIPYA kijacho kinaweza kukitupa ghalani kitabu cha zamani..ghalani kuna vumbi na tandabui ..nataka niwe mfagizi ghalani
Ni hulka yetu kutunza wazee waliomaliza muda wao..nataka nirudi nyumbani ccm nikamtuze mzee wangu huyu...nataka nikae naye kwa upendo huku nikimkumbusha madhila yote ubabe wote ukatili wote mabaya yote aliyotufanyia katika maisha yake yote ya miaka 59...
Tangu leo kwa akili zangu na bila kushurutishwa na ahadi nono za kitapeli za kuunga juhudi NATANGAZA RASMI KURUDI CCM ...Lumumba nipokeeni...nimeshazoea kuwa MPINZANI
Nsha[emoji23]azoweyA KUWA mpinzaniDah yaani kwamba CCM inapoteza madaraka alafu inakuwabupinzani uchaguzi huu na wewe unataka uwe chama pinzani atiii
Ninadhani watu waliipenda CCM kwakua ndiyo chama pekee walichokifahamu kwa miaka mingi ingawa hakikuwasaidia kuondokana na umasikini wao. Tofauti ya CCM hii ya Magufuli ni kauli za wanasiasa, muongezeko wa kodi na tozo. Kuchelewwshewa mafao ya kustaafu. Nk.