cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Narudi ccm October hii
Uongozi wetu na hatma ya Tanzania kilinunuliwa na tiss chote Sasa wakakinunue na kile cha amstadam mpaka kule Amazon. Mwaka huu tunawapiga kila sehemu mkiiba kura hatukubali mkipiga watu risasi the Hague weweeeeeeeeee
@Mshana JrHongera sana
Usisahau kuongozana na familia na marafiki mkajaze [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
@Mshana Jr
Maona akili kubwa cocochanel amekuelewa kuliko wote[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
CcHuyo muache tu.. kanipa link nije kusoma nilichokipita kabla.. sasa naburudika naye..
Ardhi- kodi
Ukijenga nyumba- kodi
Ukisema uweke na chumba kimoja upangishe- kodi ya biashara inakuhusu.
Frame ya duka- kodi, unae mpangisha nae- kodi ya biashara yake inamuhusu
Kila unachokula, kuvaa na kutumia- kodi
Umeme na maji unalipia na kode juu
Wafanyabiashara binafsi hatuthaminiki hata kidogo wakati ndo walipa kodi wakubwa.
Alafu fedha ya nchi yetu iliishi kushuka thamani.
Ni chama gani kinayaishi haya yote.
Kubadili chama tawala wakati ni sasa, no matter what
Kuna faida kubwa ya kua na vyama viwili vyenye nguvu, tusisahau hilo.
Chama kikijua kua kuna upinzani lazima kikae makini na kumjali mwananchi kwani yeye ndie boss
nitaamini utakapowakabidhi kichinjio au namba zake kitambulisho cha mpiga kura maana zinakusanywaHapana kuna namma ya kuzuia kishirikina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sidhani@Mshana Jr
Maona akili kubwa cocochanel amekuelewa kuliko wote[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sidhani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]life limekuwa tightHa ha haaaaaa
Eeeeeeeh
Lolote tu.. siku hizi hata Msata hukuongelei tena.. mikato mikato ilikwishney..
Nikipata muda nitasoma yote umemwaga.. siku hizi kisichonipa maarifa mimi.. na kipesoni kwa mtu.. sipotezi muda na uzi huo humu.. 2020 [emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172]
Lugha hiyo imekuelea?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]life limekuwa tight
Mshana Jr utakubaliana na sisi wana CCM makini kuwa nchi iliharibiwa na mjenzi wa sasa ni Dkt Magufuli, karibu sana mtu wa Mungu.Niliachana na ccm mwaka 1984 kwenye ile vita ya uhujumu uchumi iliyotumiwa vibaya na watendaji wa ccm chini ya hayati waziri mkuu Edward Moringe Sokoine...!!!!
Biashara za familia zilizikwa na ile vita kwa uonevu mkubwa sana...kuingia 1985 ya mzee ruksa sikuwa na hata chembe ya kuwa ccm
Mzee ruksa Alivurunda zaidi aliporuhusu biashara huria bila ya maandalizi na kwa mara ya kwanza wabongo tukaanza kuendesha magari reject toka Japan maarufu kama JABA....Na ndio tukabadili mfumo wa plate number kutoka TZ na zile plate number kwa mikoa yaani AR-Arusha, TA-Tanga nk na kungia kwenye mfumo wa TZA, TZB, TZC ... ..Mfumo ulioua registration za mikoa
Tukawa sasa tuna sajili plate number mpya gari mtumba reject.PATHETIC POOR PEOPLE...!!!! Peugeot house ikafa rasmi
Akaja Ben Mkapa msomi nguli RIP ...Akafanya ubinafsishaji mkubwa sana...chote alichokijenga Mchonga kwa miaka 37...CCM ya Mkapa ikakifisadi overnight!!!!
National battery
Ubungo spinning
General tyre
Mang'ula tools
Ufi
National milling
RTC
TTCL
nknknk
Kilichomuumiza Mchonga kuliko vyote ni NBC ..kuuziwa makaburu kwa bei ya kutupa
Chuki yangu kwa ccm ikazidi..Hizi ndio zile nyakati kukawa na pengo la wazi kati ya walio nacho na wasio nacho..ikawa ukiwa na bendera ya ccm kwenye gari lako wewe ni untouchable...na ndio hapa Sumaye akiwa waziri mkuu akatangaza wazi kuwa UKITAKA MAMBO YAKO YAKUNYOOKEE KUWA CCM
Nyakati ni kurasa ...ukurasa wa Ben ukapita na makandokando yake yote..Akaja mzee wa msoga...wote hawa ni ccm ...yani wananchi tunapigwa mtungo bila huruma na watu walewale
Mzee wa Msoga..akalegeza kidogo..halafu akalegeza kabisa...kama taifa tukaingia kwenye auto mode...yaani tulikuwa tunaenda tu
Baada ya msoga tukapaa mpaka Chuttle tulikofungua kurasa mpya baada ya kufunga za Msoga...
Ni wazi kurasa za chuttle ndio zitahimitisha kitabu kikubwa cha zama za ccm...yaani TUNASOMA UKURASA WA MWISHO KISHA TUSOME NENO TAMATI tufunge rasmi kitabu cha ccm tukakiweke maktaba kama kumbukumbu
Sasa kwanini nataka nirudi kuwa sehemu ya kitu kinachofikia kikomo?
Nataka niwe mtunza kumbukumbu...kitabu KIPYA kijacho kinaweza kukitupa ghalani kitabu cha zamani..ghalani kuna vumbi na tandabui ..nataka niwe mfagizi ghalani
Ni hulka yetu kutunza wazee waliomaliza muda wao..nataka nirudi nyumbani ccm nikamtuze mzee wangu huyu...nataka nikae naye kwa upendo huku nikimkumbusha madhila yote ubabe wote ukatili wote mabaya yote aliyotufanyia katika maisha yake yote ya miaka 59...
Tangu leo kwa akili zangu na bila kushurutishwa na ahadi nono za kitapeli za kuunga juhudi NATANGAZA RASMI KURUDI CCM ...Lumumba nipokeeni...nimeshazoea kuwa MPINZANI
Kwa miaka59 ya uhuru chini ya ccm nchi imedumaa sana ...Mchonga alikuwa na maono makubwa lakini waliofuatia wote mmmh.....Nitatudi ccm kwa sababu nimezoea kuwa mpinzaniMshana Jr utakubaliana na sisi wana CCM makini kuwa nchi iliharibiwa na mjenzi wa sasa ni Dkt Magufuli, karibu sana mtu wa Mungu.