Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 173
- 465
- Thread starter
-
- #21
Zoezi letu lilifungwa Tarehe 1, October 2022.safi sana mkubwa, hii ndio nataka kuona hapa. Mm kama ungekua unapangisha fremu, wazo langu na mtaji wangu ungenipata.
Tumetumia siku 3 kuipitia mawazo 35 yaliyo wasilisha DM na memgine matatu(3) ya hapa kwenye comment, jumla tulikuwa na mawazo 38,
Mawazo yaliyo fanikiwa kuingia 10bora ni:
1. Wazo la Nafaka (Wamefungana wapo wa5 walio wasilisha wazo hili.)
2. Wazo la Mayai ya Jumla.
3. Wazo la Nguo
4. Wazo la Butcher
5.Wazo la Ufundi Simu na uuzaji wa Accesory za computer na simu.
6. Wazo la Stationary n Uduma za Miamala
7. Wazo la Juice ya Miwa na Mtindi.
8. Wazo la Car lubricate and Accesories.
9. Wazo la Kuuza Movies za Soft copy na Accesories za computer
10. Wazo la Supu za Ulimi, Kongoro na Kuku.
Tunapitia mawazo haya 10. kwa ufainisi kuona walio wasilisha kama wame weza kuelezea na kuchaganua vyema proposal zao.
Mshindi ata tangazwa hapa kati ya leo na kesho.
Vitu vinavyo zingatiwa ni :
1. Mleta wazo ameweza kuelezea mtaji husika ulio tajwa? kama amevuka ukomo wa mtaji anasemaje ana uwezo wa kujazia au vip?
2. Je amefafanua mchanganuo wa wazo lake kwanzia Bei ya Manunuzi na ya Mauzo?, ameweza kuonyesha faida itakavyopatikana?, ame weza kuelezea matumizi ya mzunguko mzima wa biashara mpaka kuifikia faida?
Je wazo lake ni halisia au haliendani na uhalisia wa kibiashara (Hivi haelezi yeye ila.mm na mtaalamu wa biashara tunavitafakari kwenye wazo lake)
Je faida anyo izungumzia inaweza kweli kumpa chakula cha kila siku na akansave kukuza biashara au ndio mtaji utaliwa chakula,
Je faida anayo izungumzia ina fikia viwango vya faida ya kujiendesha kibiashara au ndio risk ya mtaji mkubwa alfu faida haifiki hata asilima 5% maana biashara yenye tija faida inatakaia iwe 12%, 15% au hata 20%
Tukijiridhisha tuta mtangaza mshindi ndani ya siku mbili na ataitwa Dm atoe number zake tumpigie na akikabidhiwa mtaji na frame apige picha na tutamtaka aje kutoa ushaidi hapa ili watu wajue fursa inachangamkiwa n wale wasio penda kuamini wawe na imani