Malkia wangu
Senior Member
- May 1, 2024
- 143
- 265
Nawasalimu wote , hivi karibuni nitakuja na jambo langu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kiongozi, cha msingi twende na muda.Kuna uongo mwingi sana humu.kuliko ukweli!
Maisha yetu ni fantasy tosha hayana uhalisia katika ulimwengu wa kawaida!!
Unakuta mtu kajifungua ndani lakini anakomenti kama CIW au FBI!!
Achana nao mkuu,karibu sana!
Tunaishi nao TU , kikubwa akili .Watu feki wapp humu
Asante 😊Okay 👍 karibo
Mkuu nikupe jina gani ?Asante 😊
Karibu bila shakaNawasalimu wote , hivi karibuni nitakuja na jambo langu .
Asante kiongoziKaribu bila shaka
Lolote ila lakikeMkuu nikupe jina gani ?
Na watakumaindi kwa kusema ukweli , shukrani.Karibu sana. Ila kuwa makini na majina ya kike, wengi wao ni midume au mishangazi liyojikatia tamaa ya maisha.
Okay 👍 nakupa la SamiaLolote ila lakike
Usinipe jina la mnyama , nipe ata jina la mmea au tundaAitwe mzabzab au King Kong III
Karibu tuendelee kuchangia account za bank za mmliki wa j
Halinifai maana Sina hurumaOkay 👍 nakupa la Samia
Mmiliki ni nani mkuu ?Karibu tuendelee kuchangia account za bank za mmliki wa jf mkuu🤭
StrawberryUsinipe jina la mnyama , nipe ata jina la mmea au tunda