Nimeamua kutulia na mke wangu

Nimeamua kutulia na mke wangu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
katika harakati zangu za kuwa na sampuli mbalimbali; wenye chura matata, warefu, wafupi, wembamba, wanene n.k, nimeona hayo maisha ni ubatili mtupu.

Mwisho wa siku wanakuwa hawana shukrani, zaidi ya kuwa wapigaji tu; wengi wanaingia kwenye uhusiano kama ajira.

Utasikia bebii nimeishiwa hiki, mara mtoto amemeza mtungi wa gesi, mara natakiwa saluni n.k.

Kwa ujumla, walikuwa wananifanya kichwa kuchanganya mafaili na moyo kwenda mbio.

Kwa sasa nimeamua kubaki njia kuu nile mafao yangu ya uzeeni na mke wangu; waswahili wanasema, uliyeokota naye kuni ndio utakayeota naye moto.

Kwa michepuko tuliozaa pamoja, tuonane baada ya miaka 20 katika kuwaozesha hao watoto wetu; msisahau kuniletea kadi; hakutakuwa na kupasha kiporo.

Kijiti namkabizi kijana mmoja machachari hapa jukwaani, ikiwezekana mpendekezeni.

Mstaafu baharia,​
 
katika harakati zangu za kuwa na sampuli mbalimbali; wenye chura matata, warefu, wafupi, wembamba, wanene n.k, nimeona hayo maisha ni ubatili mtupu.

Mwisho wa siku wanakuwa hawana shukrani, zaidi ya kuwa wapigaji tu; wengi wanaingia kwenye uhusiano kama ajira.

Utasikia bebii nimeishiwa hiki, mara mtoto amemeza mtungi wa gesi, mara natakiwa saluni n.k.

Kwa ujumla, walikuwa wananifanya kichwa kuchanganya mafaili na moyo kwenda mbio.

Kwa sasa nimeamua kubaki njia kuu nile mafao yangu ya uzeeni na mke wangu; waswahili wanasema, uliyeokota naye kuni ndio utakayeota naye moto.

Kwa michepuko tuliozaa pamoja, tuonane baada ya miaka 20 katika kuwaozesha hao watoto wetu; msisahau kuniletea kadi; hakutakuwa na kupasha kiporo.

Kijiti namkabizi kijana mmoja machachari hapa jukwaani, ikiwezekana mpendekezeni.

Mstaafu baharia,​
Sawa, uko wapi......
 
katika harakati zangu za kuwa na sampuli mbalimbali; wenye chura matata, warefu, wafupi, wembamba, wanene n.k, nimeona hayo maisha ni ubatili mtupu.

Mwisho wa siku wanakuwa hawana shukrani, zaidi ya kuwa wapigaji tu; wengi wanaingia kwenye uhusiano kama ajira.

Utasikia bebii nimeishiwa hiki, mara mtoto amemeza mtungi wa gesi, mara natakiwa saluni n.k.

Kwa ujumla, walikuwa wananifanya kichwa kuchanganya mafaili na moyo kwenda mbio.

Kwa sasa nimeamua kubaki njia kuu nile mafao yangu ya uzeeni na mke wangu; waswahili wanasema, uliyeokota naye kuni ndio utakayeota naye moto.

Kwa michepuko tuliozaa pamoja, tuonane baada ya miaka 20 katika kuwaozesha hao watoto wetu; msisahau kuniletea kadi; hakutakuwa na kupasha kiporo.

Kijiti namkabizi kijana mmoja machachari hapa jukwaani, ikiwezekana mpendekezeni.

Mstaafu baharia,​
👏🏻👏🏻👏🏻
 
Hapokei, atakua kakalia simu.....
20240716_165837.jpg

Pokea hii ya kwangu ,kuna maelekezo ya mbio mbio ,fanya chap inaishia na 18.
 
Yote ni ubatili na hakuna jipya. Ukimaliza kupiga (post nut clarity) na kuanza kufikiria gharama ulizoingia unaishia kujiona boya tu. Hapo bado mamikosi, laana na mamizigo mengine ya kiroho uliyojibebesha. Hakuna dhambi mbaya na yenye gharama kubwa za kimwili na kiroho kama uzinzi!

Umefanya uamuzi wa maana sana na Mungu Akushike mkono na kukuongoza!

Screenshot_20240729_215503_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom